kesho Jan 10, 2016 Mabasi ya Mwendo kasi yataanza route?

Al-shabaab

JF-Expert Member
Aug 24, 2013
1,791
619
wanajukwaa kama tuivyoahidiwa na vipngozi wetu kesho january 10 2016 ndo mabasi ya mwendo kasi yanaanza kufanya kazi? je ni kweli yanaaza kazi? na vp nauli halisi ni zipi?
 
Viongozi wanakurupuka tu kusaka umaarufu wa kijinga wakati tayari wanao huo umaarufu. Kwa akili ya kawaida tu nilipomsikia mkuu anaagiza mradi uanze ifikapo january na nilipoangalia stage ya mradi nilijua kabisa huyu kuna mawili, aidha hajui kuwa hilo agizo halitekelezeki au anajua halitekelezeki ila akaamua kujitoa ufahamu.

Haya ndio madhara ya kuwa na kuongoza kwa kutumia media. Anakuja kushtuka jamaa wanaandaa bei zao inamaana hakujua bei itakuwaje? Hawakujadili haya wakati wa kusaini mkataba?????? Wakiendelea kuongoza kiimla namna hii watajikuta hakuna walichokifanya baada ya miaka mitano sana sana watakiwa wameachieve kuharibia watu maisha kwa maamuzi yao.

They must change.
 
Wanaweza kuanza kwa kupakiza viongozi wabunge na mawazir kwa majaribio ya mradi then wakala anaenda mahakamani kuweka zuio la mradi kuhusu nauli mradi unasimama mpk kesi hiishe mahakamani 2019 mwezi wa 8 au wa tisa kipindi cha kampeni
 
Labda 10/01/2026 ila sio 10/01/2016...


Akili zilizo tengeneza tatizo haziwezi kulitatua .


+CCM kwasasa wanaweza Bomoa Bomoa tu ambayo kwasasa wanaelekea kuishindwa.
 
Serikali ya ccm inaweza kubomoa tu kile kilichotengenezwa tayari na sio kujenga kipya. Watukodishie basi vile vituo, viko poa kweli kufugia noah na kuku.
 
Back
Top Bottom