toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Nyumba za kupanga Dar: Nachukia vyumba vya ndani ya nyumba na kukaa na mwenye nyumba.
Hakuna kitu au kero kama hapa Dar nyumba za kupanga unakuta ni vyumba vipo ndani ya nyumba.
Nachukia sana hili jambo linakera yaani nyumba ina korido ndani humo kuna vyumba nakereka sana huwa hadi najiuliza mnaoishi mtindo huo wa vyumba vya ndani mnawezaje? Japo nishawahi kupanga mazingira kama hayo ila sikuweza kuvumilia miezi miwili tu nilihama nikaacha kodi yote.
Pia jambo la kukaa na mwenye nyumba ni upuuzi wa hali ya juu na mnajua wenye nyumba wenyewe ndio waswahili waswahili hivi ukifanya kila kitu wanajua kweli ni kero na joto la mkoa wetu mbona hii ni nusu ya kifo?
Hakuna kitu au kero kama hapa Dar nyumba za kupanga unakuta ni vyumba vipo ndani ya nyumba.
Nachukia sana hili jambo linakera yaani nyumba ina korido ndani humo kuna vyumba nakereka sana huwa hadi najiuliza mnaoishi mtindo huo wa vyumba vya ndani mnawezaje? Japo nishawahi kupanga mazingira kama hayo ila sikuweza kuvumilia miezi miwili tu nilihama nikaacha kodi yote.
Pia jambo la kukaa na mwenye nyumba ni upuuzi wa hali ya juu na mnajua wenye nyumba wenyewe ndio waswahili waswahili hivi ukifanya kila kitu wanajua kweli ni kero na joto la mkoa wetu mbona hii ni nusu ya kifo?