Madaktari wa nini, si alijidai yuko fit kwa kupiga push up? Au ni woga baada ya ile ajali ya Ruvu!
Sinasikia jamaa kakatazwa kupanda ndege na madaktali.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Huu kwa kweli ni usumbufu kwa raia wema! Kuna sababu gani ya kutumia barabara na kusababisha raia waweke magari yao pembeni kupisha msafara wa Rais? Huu ni usumbufu uliopita kipimo! Hebu atumie ndege zake bwana! Sasa hivi tumesimamishwa hapa Chalinze eti tunapisha msafara ambao bado uko Gairo! Sasa fikria muda ambao raia watautumia mpaka apite hapa Chalinze! "HAPA MAIGIZO TU"
Ni kwel kinakera kila muda mbezi ubungo vingora jk alikua bize na anga
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Mleta mada ana mchango wa pekee kiasi cha kutufanya tujue kuwa wewe ni askari tena polisi!Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Huyu naye eti anamkosoa Rais Magufuli!! ----- kabisa.
Mleta mada muongo na mpuuzi mimi ni askari mtu hawezi simamishwa wakati msafala upo gairo jamaa muongo halafu mpuuzi.
Ataenda kwa gari. Hata mikutano ya UN, New york, itabidi aende kwa gari. Pia kwa sababu hiyo gharama zitapungua. Huyu kweli "anafaa".sasa atakuwa anaenda aje kwenye mikutano ya UN ambayo itafanyika outside East Africa?