Hapunguzi gharama hata kidogo ndiyo kwanza gharama imezidi mara 100 kwa mafuta ya zile gari zote ni kubwa kuluko kusafiri kwa ndege.
Kokotoa hesabu hapa ili tupate gharama za uliganifu, usidhani watu wote humu ni mifugo na nyumbu kama wewe na wenzako.