Naomba hata ndoo moja inipush wiki nzimaPoleni.
Wewe tena unatuita ng'ombe?Hii ni too much aisee hawa ng'ombe watatuua sasa
Fukuza Mkurugenzi ,Waziri na Katibu wa Wizara."INGEKUWA"kama wewe ni Rais wa JMT ungechukua hatua gani kwa Mkurugenzi wa DAWASA kutopatikana kwa maji katika maeneo mengi jijini Dar es Salaam?
Unadhani hii ndio solution? Mkuu, mbona wamekuwa wakifukuzwa miaka yote 60+ na hakuna chochote wamefanya hadi leo na shida ya maji iko palepale.Fukuza Mkurugenzi ,Waziri na Katibu wa Wizara.
Mkuu system ikishakua mbovu. Hakuna mtu mmoja wa wawili unaweza kuwatoa na mambo yakakaa kwenye mstari sukujisho ni kufumua system nzima.Fukuza Mkurugenzi ,Waziri na Katibu wa Wizara.
Beba tank kabisa😀Naomba hata ndoo moja inipush wiki nzima