Habari zenu wana jamii forum,mimi ni mkazi wa moshi kilimanjaro,huwa nikiumwa au ndugu yangu kuumwa huwa nampeleka kilimanjaro hospital,lakini huwa kuna kero kubwa hasa ukiwa unatumia bima kuanzia kwa madaktari na wadada wembamba wa mapokezi,jana nilienda nikiwa napeleka mgonjwa tukakaa zaidi ya masaa 2 tukaamua kumfuata doctor majibu aliyotoa niyakusikitisha,et amechoka,isitoshe tulikuwa tukiona akihudumia wagonjwa kinyemela,wafanywaje hawa watu