Yote hayo ili kumuona Diamond kwenye helikopta, wabongo wapumbav sana!
nanikakwambia wenye hela wanalala! wanakesha jollies na klabu za members only huko masakiHivi bado kuna watu hawalali wanakesha kwenye madisko..maskini kwa kujitesa sisi..ndo kazi yetu kubwa we ushaona wapi mtu na pesa yake anakesha ukumbi wa starehe usiku mrefu..watu wamelala majumbani mwao wanahesabu pesa tu..sisi vidogo tulivyonavyo bado tunawapelekea..hehe...
Mjini hapa kila kitu kipya ni cha Riz1 duu haya majungu sasa!
Shigongo fanya mabdiliko wewe ni mjasiliamali wa ukweli kabisa hapa tanzani!
Watu wanaolala lala hovyo siku za weekend labda ni watu kama wewe huenda upo majalala kwa mfuko, maisha yenyewe haya kwa nini watu wajibane mkuu? wacha watu wale Good time kwa raha zao ili wapunguze stress na ukali wa maisha.Hivi bado kuna watu hawalali wanakesha kwenye madisko..maskini kwa kujitesa sisi..ndo kazi yetu kubwa we ushaona wapi mtu na pesa yake anakesha ukumbi wa starehe usiku mrefu..watu wamelala majumbani mwao wanahesabu pesa tu..sisi vidogo tulivyonavyo bado tunawapelekea..hehe...