N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,993
- 12,041
Vyoo vya hii stendi jirani na kituo cha Polisi cha Simu 2000 ni vichafu sana.
Unapoingia tu unakutana na masinki yale ya wakati wa COVID-19 ya kunawia mikono yana maji machafu yaliyotuama humo ni kama yamekuwa hapo kama mwaka hivi hadi yameoza.
Ukitoka hapo unalipia lakini ukiingia ndani vyoo ni vichafu sana kama unavyoona.
Hawa wanaopewa hizi kandarasi za kusimamia hivi vyoo Halmashauri huwa mnawakagua?!
Yuko wapi Afisa Afya wa Manispaa/Halmashauri Kinondoni. Hauoni huu uchafu unaohatarisha afya ya jamii?
Mnakera kinoma yaani!!! Hizi huduma tunalipia hamtoi bure eti!!!
Unapoingia tu unakutana na masinki yale ya wakati wa COVID-19 ya kunawia mikono yana maji machafu yaliyotuama humo ni kama yamekuwa hapo kama mwaka hivi hadi yameoza.
Ukitoka hapo unalipia lakini ukiingia ndani vyoo ni vichafu sana kama unavyoona.
Hawa wanaopewa hizi kandarasi za kusimamia hivi vyoo Halmashauri huwa mnawakagua?!
Yuko wapi Afisa Afya wa Manispaa/Halmashauri Kinondoni. Hauoni huu uchafu unaohatarisha afya ya jamii?
Mnakera kinoma yaani!!! Hizi huduma tunalipia hamtoi bure eti!!!