Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,015
- 16,447
Wakuu, nimepita sehemu hii jioni kuna ugomvi mkubwa kisa ni zamu za umeme, kiukweli hizi luku ni nzuri kama wapangaji wako wachache na wanaelewana vinginevyo ni majanga.
Hivi haiwezekani kila mpangaji akawa na mita yake kama vile switch?
Mabachela inakula kwao zaidi wanaotoka asubuhi kurudi usiku hasa wale wasio na vifaa vingi vya umeme lakini kwenye malipo wanalipa sawa, ukute anawasha taa tu ghetto akirudi.
Vipi una ushuhuda wowote kwenye hili?
Hivi haiwezekani kila mpangaji akawa na mita yake kama vile switch?
Mabachela inakula kwao zaidi wanaotoka asubuhi kurudi usiku hasa wale wasio na vifaa vingi vya umeme lakini kwenye malipo wanalipa sawa, ukute anawasha taa tu ghetto akirudi.
Vipi una ushuhuda wowote kwenye hili?