matonyamswanu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2025
- 361
- 429
Tatizo na sababu za kuutaka muungano, ilianzia kwenye maasi ya jeshi wakati huo 19/1/1964.
Jeshi liliasi, na Nyerere akijificha kigamboni kunusuru maisha yake.
Miezi mitatu tu baadae akamshawishi hayati Karume Rais wa Zanzibar wakati huo, waunganishe nchi.
Nyerere aliona atakuwa salama kama jeshi litakuwa moja mpaka visiwani.
Tanganyika haina uzoefu wala historia ya kumwaga damu kutafuta uhuru, tofauti na Zanzibar.
Akawa radhi kuifuta
Tanganyika kwa hofu zake tu. Angekomaa kiume, tusingekuwa na jinamizi hili la kuuwawa ndani ya nchi yetu na wageni toka Zanzibar na majeshi mengine ya kukodi toka uganda nk
Jeshi liliasi, na Nyerere akijificha kigamboni kunusuru maisha yake.
Miezi mitatu tu baadae akamshawishi hayati Karume Rais wa Zanzibar wakati huo, waunganishe nchi.
Nyerere aliona atakuwa salama kama jeshi litakuwa moja mpaka visiwani.
Tanganyika haina uzoefu wala historia ya kumwaga damu kutafuta uhuru, tofauti na Zanzibar.
Akawa radhi kuifuta
Tanganyika kwa hofu zake tu. Angekomaa kiume, tusingekuwa na jinamizi hili la kuuwawa ndani ya nchi yetu na wageni toka Zanzibar na majeshi mengine ya kukodi toka uganda nk