Kwa siku tatu mfululizo nimekuwa nikipiga Azam Customer care ili kuulizia mambo kadhaa kuhusu vifurushi vyao vipya kwa namba 0764700222. Cha kushangaza kila nipigapo naambiwa subiri utahudumiwa muda sio mrefu! Siku ya kwanza nilishika simu sikioni kwa takribani dakika 45, napigiwa wimbo mfupi na mwisho naambiwa maneno hayo hayo, hadi simu ikaloa jasho.
Kesho yake hivyo hivyo na siku zilizofuata hivyo hivyo. Hadi nikakata tamaa na kuacha kabisa kufuatilia. Swali; Je, huduma ya Customer Care Azam bado ipo au illishasitishwa? Na kama haipo kwanini wateja tusijulishwe? Na kama bado ipo kwanini inachukua zaidi ya saa moja bila kuwepo response?
Najua message itawafikia na mtatoa ufafanuzi..
Kesho yake hivyo hivyo na siku zilizofuata hivyo hivyo. Hadi nikakata tamaa na kuacha kabisa kufuatilia. Swali; Je, huduma ya Customer Care Azam bado ipo au illishasitishwa? Na kama haipo kwanini wateja tusijulishwe? Na kama bado ipo kwanini inachukua zaidi ya saa moja bila kuwepo response?
Najua message itawafikia na mtatoa ufafanuzi..