Kenyela atolewa u RPC

Source plz!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
yaani kati ya makamanda wote jamaa anapiga kazi..na anaonekana ni msomi ...lakini hii serekali ndo haitaki watu kama hawa...
 
Mtumishi wa serikali anaweza kuhamishiwa mahali po pote wakati wo wote. Siyo lazima awe ametenda kosa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kagusa maslahi ya wakubwa, madanguro na madawa ya kulevya. To be honest Hamas Yuko vizuri but ndiio hivyo
 
Na walishajaribu kumuua kwa sumu huyu mkuu kweli policcm ni noma ni wauaji tu akina Kamuhanda ndo wanahitahika na kupandishwa vyeo
 
Usifanye masihara na biashara za watu! Watu wana hisa zao kwenye madanguro

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwa Sababu ni Member JF, tena ni Verified User
 
Mkuu unaweza kutupatia source ya hii taarifa ili tuutafute ukweli? Manake hii pandisha vyeo ya Kova na Kamuhanda inasababisha tufukunyue kila mahali ili kujua kinachokwenda kutokea.

Btw kama failures ndio wanakwenda kurundikwa makao makuu, ufanisi wa jeshi la polisi ni dhahiri kuwa unakuwa mashakani.
 
Kagusa maslahi ya wakubwa, madanguro na madawa ya kulevya. To be honest Hamas Yuko vizuri but ndiio hivyo

hiyo ni sababu moja wapo
 
Nani atasimamia ile kamatakamata ya akina dada wanaojiuza sehemu mbalimbali Kinondoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…