Mkuu unaweza kutupatia source ya hii taarifa ili tuutafute ukweli? Manake hii pandisha vyeo ya Kova na Kamuhanda inasababisha tufukunyue kila mahali ili kujua kinachokwenda kutokea.
Btw kama failures ndio wanakwenda kurundikwa makao makuu, ufanisi wa jeshi la polisi ni dhahiri kuwa unakuwa mashakani.