Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

ukizijua siasa za dunia wala huwezi umiza kichwa kwa mambo madogo, shida yako unasumbuliwa na ufahamu mdogo

Hizi siyo siasa:

IMG_20211015_144814_546.jpg


Huu ni uhalifu ambao angalau Hamza alikuwa na sababu.

Hawa si almighty hata wakifungiwa milango tu, ni faraja mno kwa wapenda haki.
 
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.

Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting

Hatuna cha kujifunza kweli?

Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!

Mwenye macho haambiwi tazama.

Mkuu ogopa sana Zawadi za kigiriki. Watanzania tuanze kupendana. Hii ndo changamoto kubwa sana. Kuona vya wenzenu vizuri. Mwanamke wa Tz. Ukimwambia mi mcongo. Mkenya. Mzambia. Mnaigeria Nk. Unakula kirahisi. Na unakuta baadhi wabebeshwa madawa nk.

Stop feeling inferior. Mzungu hawezi kukuita wewe kwa faida yako. Hapo Kuna Target. Tumieni upendo na akili kuwaza. Tanzania kwanza. Maisha yetu huwezi fananisha na wengi tu Africa. Maneno mengi Lakini kimyakimya tunakula bata sana Tz.
 
Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.

Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting

Hatuna cha kujifunza kweli?

Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!

Mwenye macho haambiwi tazama.
Mimi sioni kama rais kenyatta kukutana na rais Biden ni jambo la kuimiza vichwa vya watanzania ama kufikia mahali pa kujipima na kujiwekee alama ya kwamba sisi tuko chini sana ama tusiotambulika vingine tuwe tumekosa kabisa mambo ya kimsingi ya sisi kujilinganisha na
Kenya

Nasema hivyo kwa sababu nchi za afrika kimahesabu ni nyingi mno nq zikiwa marais wakongwe na wenye uzoefu kwenye tasisi ya urais kumzidi hata rais wetu Tanzania kwani kwenye hizo nchi wapo marais waliokaa madarakani muda mrefu sana kumpita rais wa Tanzania na kumpita hata rais wa kenya

pamoja na kukaa kwao muda mrefu na ukongwe wao kwenye tasisi ya urais kwenye nchi zao lakkni hata wao hawajapata nafasi ya kukutana na rais Bideni na pamoja na hivyo pia haiwafanyi wao ama nchj zao kuwa pengine hazina maana kama vile habari hii inavyotupelekea kufikiri

ama hebu mtoa mada fikiri ni nchi ngapi basi ktk Afrika zilizooata nafasi ya kushirikiana na Biden?
ama tuseme basi ktk nchi za Afrika kenya pekee ndiyo bora sana?

hata rais SSH ni bora sana kwetu sisi watanzania naomba tuamini hivyo.
 
Hizi siyo siasa:

View attachment 1975277

Huu ni uhalifu ambao angalau Hamza alikuwa na sababu.

Hawa si almighty hata wakifungiwa milango tu, ni faraja mno kwa wapenda haki.
Hamza aliporwa milion 400 na madini yake na hawakujali wakaishia kumwita Gaidi, Moses Lejenje na LT Urio wamepotezwa kwa mateso ya mahita kuwafunga pingu saa 24 bila kula kuwalazimisha waseme ugaidi hewa feki, Polisiccm mungu anawaona.
 
Mimi sioni kama rais kenyatta kukutana na rais Biden ni jambo la kuimiza vichwa vya watanzania ama kufikia mahali pa kujipima na kujiwekee alama ya kwamba sisi tuko chini sana ama tusiotambulika vingine tuwe tumekosa kabisa mambo ya kimsingi ya sisi kujilinganisha na
Kenya

Nasema hivyo kwa sababu nchi za afrika kimahesabu ni nyingi mno nq zikiwa marais wakongwe na wenye uzoefu kwenye tasisi ya urais kumzidi hata rais wetu Tanzania kwani kwenye hizo nchi wapo marais waliokaa madarakani muda mrefu sana kumpita rais wa Tanzania na kumpita hata rais wa kenya

pamoja na kukaa kwao muda mrefu na ukongwe wao kwenye tasisi ya urais kwenye nchi zao lakkni hata wao hawajapata nafasi ya kukutana na rais Bideni na pamoja na hivyo pia haiwafanyi wao ama nchj zao kuwa pengine hazina maana kama vile habari hii inavyotupelekea kufikiri

ama hebu mtoa mada fikiri ni nchi ngapi basi ktk Afrika zilizooata nafasi ya kushirikiana na Biden?
ama tuseme basi ktk nchi za Afrika kenya pekee ndiyo bora sana?

hata rais SSH ni bora sana kwetu sisi watanzania naomba tuamini hivyo.
Msingi bora ni kuheshimu haki za binadamu tu, kuwabambikia kesi wapinzani kuwatumia Polisiccm akina mahita kuwatesa watu kwa visingizio vya Ugaidi hewa ni uonevu wa kiwango cha kutisha sana
 
Mkuu ogopa sana Zawadi za kigiriki. Watanzania tuanze kupendana. Hii ndo changamoto kubwa sana. Kuona vya wenzenu vizuri. Mwanamke wa Tz. Ukimwambia mi mcongo. Mkenya. Mzambia. Mnaigeria Nk. Unakula kirahisi. Na unakuta baadhi wabebeshwa madawa nk.

Stop feeling inferior. Mzungu hawezi kukuita wewe kwa faida yako. Hapo Kuna Target. Tumieni upendo na akili kuwaza. Tanzania kwanza. Maisha yetu huwezi fananisha na wengi tu Africa. Maneno mengi Lakini kimyakimya tunakula bata sana Tz.

Mkuu kuwa tayari kujifunza kwa wengine ni kitendo cha kishujaa.

Mikono yetu ni michafu. Utawala wetu ni mwovu.

Stop feeling superior uselessly:

IMG_20210925_164121_485.jpg


Yaliyopo hapo ni halisi.

Yuko wapi Moses Lijenje?
 
Marekani wanajua Serikali ya Polisiccm haiheshimu demokrasia ya vyama vingi inatumia Bajeti kubwa kudhoofisha chadema kuua upinzani badala ya maendeleo, pesa inayotumika kuvihujumu vyama vya upinzani ni kubwa mno ni pesa ambazo zingeweza kujenga daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na kujenga Hosptal za rufaa , vyuo vikuu, kila wilaya na maendeleo mengine.
 
Mimi sioni kama rais kenyatta kukutana na rais Biden ni jambo la kuimiza vichwa vya watanzania ama kufikia mahali pa kujipima na kujiwekee alama ya kwamba sisi tuko chini sana ama tusiotambulika vingine tuwe tumekosa kabisa mambo ya kimsingi ya sisi kujilinganisha na
Kenya

Nasema hivyo kwa sababu nchi za afrika kimahesabu ni nyingi mno nq zikiwa marais wakongwe na wenye uzoefu kwenye tasisi ya urais kumzidi hata rais wetu Tanzania kwani kwenye hizo nchi wapo marais waliokaa madarakani muda mrefu sana kumpita rais wa Tanzania na kumpita hata rais wa kenya

pamoja na kukaa kwao muda mrefu na ukongwe wao kwenye tasisi ya urais kwenye nchi zao lakkni hata wao hawajapata nafasi ya kukutana na rais Bideni na pamoja na hivyo pia haiwafanyi wao ama nchj zao kuwa pengine hazina maana kama vile habari hii inavyotupelekea kufikiri

ama hebu mtoa mada fikiri ni nchi ngapi basi ktk Afrika zilizooata nafasi ya kushirikiana na Biden?
ama tuseme basi ktk nchi za Afrika kenya pekee ndiyo bora sana?

hata rais SSH ni bora sana kwetu sisi watanzania naomba tuamini hivyo.

Suala si Biden jombi.

Suala ni mikono yetu, udhwalimu wetu, dhuluma zetu, nk dhidi ya watu wetu wenyewe.

Mengine haya ya kufungiwa milango mbona ni symbolic tu kwa mamburula yasiyotaka kuelewa?
 
Back
Top Bottom