TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,749
- 21,200
Nami nina swali juu ya swali lako.faida za raisi wa nchi kualikwa white house ni zipi?
Kati ya Royal Tour na State Presidential Invitation unadhani upi una nguvu kiuchumi?.
Nami nina swali juu ya swali lako.faida za raisi wa nchi kualikwa white house ni zipi?
Atasema fresh tu kwakuwa maza kamuhakikishia ishu zake kwenda poa..Uhuru Kenyatta amemshauri Maza akae ktk meza ya maridhiano na vyama vya siasa lakini ushauri wake umepuuzwa.
..sasa sijui Uhuru akiulizwa na Wamarekani kuhusu hali ya kisiasa na kidemokrasia Tz atatoa maelezo gani.
Pandora pepa ndio sabab inayowafanya hawa jamaa wakutane kwa sabab Kenyatta ni miongon mwa vichaka vya matembo kuficha Mali zaoWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Ndiyo Hangaya alivyokwambia?
Alipoonana Guterres kama formality iliyomhusu kila mjumbe UNGA akiwamo hata mtwaleban hiyo ikawa habari kubwa?
Tulipo leo na kina Burundi na Uganda tuchekane kwa lipimuambie
Tanzania tunaangushwa na WAZANZIRWenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
Tatizo hakili zenu visoda hadi mwambiwe ndo mtambueng nin kuhusu nin , nin usichokijua kuhusu Marekani ok let say hakili huna kabisa ya kufikilisha ubongo maana sio kwa hayo mawazo
Tanzania tunaangushwa na WAZANZIR
Vyote hauna ,"Hakili" sina, ila "akili" ninazo 😁😁
Vyote hauna ,
royal tour ina nguvu zaidi na sababu ni hizi:Nami nina swali juu ya swali lako.
Kati ya Royal Tour na State Presidential Invitation unadhani upi una nguvu kiuchumi?.
unaweza kuthibitisha kwamba nimepaniki?Na mimi nimeuliza tu. Mbona unapaniki?
Tanzania tunaangushwa na WAZANZIR
Unadhani Amerika akikuita white gouse akitaka kitu kwako na ukamnyima atakubembeleza?.royal tour ina nguvu zaidi na sababu ni hizi:
-itatangaza vivutio vyetu, hivyo kuvutia utalii ambao utakuza uchumi wa mtu mmoja mmoja
-itawavutia wawekezaji kwenye sekta za utalii na kilimo
-n.k n.k
hasara za raisi wa nchi kukaribishwa white house- amerika hana rafiki asiye na maslahi naye, hivyo kuna uwezekano mkubwa wa raisi wenu kuwa compromised kwenye rasilimali muhimu kwa faida yake binafsi maana amerika hanaga win-win situation
ubabe upo lakini si kama unavyofikiriUnadhani Amerika akikuita white gouse akitaka kitu kwako na ukamnyima atakubembeleza?.
White house ni mbinguni??Wenzetu Kenya wamealikwa White House sisi ndiyo kama hivi.
Biden, Kenya President Kenyatta to hold White House meeting
Hatuna cha kujifunza kweli?
Yaonesha rais mwanamke siyo dili, ila demokrasia!
Mwenye macho haambiwi tazama.
-faida kubwa ya loyal tour ni kwamba nchi ndio itanufaika na si samia as a personIssue ya loyal tour vile hujui tu zile ni royal business ambazo out of door you can't catch anything!
White house ni mbinguni??
Kwa hivo, kuna sababu yoyote ya kupapatikia kukaribishwa kwa Kenyata na kutokaribishwa kwa Samia??!!Unaongelea kuliko na makazi ya kudumu na waongoza malaika?
Osama pamoja na ahadi ya bikra 7 wakimsubiri bado alipachelea huko
Kwa hivo, kuna sababu yoyote ya kupapatikia kukaribishwa kwa Kenyata na kutokaribishwa kwa Samia??!!