babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,021
Kuwa na adabu wewe, 2006 hana viatu huo ni uzembe.Watanzania huwa mnachekesha, kwenye taarifa yote hiyo mumeshikilia moja tu hilo la viatu, inawezekana kuwa kweli maana amemaliza kidato cha nne 2006, hapo ukombozi wa pili kwenye nchi yetu ulikua bado mchanga, hivyo ina maana aliishi kipindi cha udhalimu kama wa CCM huko kwenu.
2006 nna wake watano wanakula,kunywa na kulala bila maswali.na nduguyo hana hata viatu.