Kenyan Prostitutes In Saudi Arabia Exposed (VIDEO)

Inabidi ufanye update ya avatar yako uweke picha ya huyo mwanamke malaya wa Kikenya akila kona Saudi Arabia.

I prefer tight security.

tightcop-569x420.jpg

mkuu nikitumia avatar ya afande linda nitawachanya wanajf na akina lawmaina78 kuhusu jinsia yangu.mimi ni dume hivyo basi kutumia picha ya afande mlevi njoroge ni sahihi kabisa.ila kwa sasa nafikiria kubadili avatar,nataka kutumia ya yule chege wa nakuru aliyebaka kondoo hivi majuzi.teh teh.
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha ooh my my.aim LMFAO.si ni kaka zao hapa JF wanadadai their economy is officially a middle income one?.aibu kubwa sana hii kwa wakenya. lawmaina78 ukitoka "tao" upite hapa utoe maelezo ya hii aibu yenyu.your sisters in middle east are shaming you.
A%20S%20wink.gif
:peep:

kunyongwa uchina ebu nikumbushe lawmaina kama hatima yao sio kifo kwa shooting squad ya red army
kulevya.jpg


[h=1]Watanzania 65 wauza 'unga' kunyongwa China[/h]
[h=1]MAJINA 403 YA WAUZA UNGA YAANIKWA[/h]

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
HATIMAYE gazeti namba moja kwa habari za uchunguzi Tanzania, Uwazi limeyanasa majina 403 ya Watanzania waliokamatwa, kufungwa au kushikiliwa katika magereza mbalimbali duniani kwa makosa ya madawa ya kulevya ‘unga’.
Baadhi ya watuhumuiwa waliokamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga’.
Hivi karibuni, serikali ilikiri kukamatwa kwa Wabongo hao nje ya nchi na kusema baadhi yao wanasubiri kunyongwa baada ya kupatikana na hatia. Hata hivyo, serikali ilificha majina ya watu hao.
Ifuatayo ni orodha ya majina hayo na maeneo wanayotoka nchini Tanzania. Kwenye mabano ni hukumu zao.
Abdallah Ally Rashid Mbonde Fredue, Dar (miaka 15 jela), Mzia David Michael, Dar (22), Rashid Mzonge, Magomeni, Dar (maisha), Salum Jumbe Pigigi (maisha), Ramadhan Iddi Juma, Kinondoni, Dar (7), Saleh Happy Hambona, Dar (18), Michael Dalasi Taraja, Temeke, Dar (19) na Juma Omar Mgeni (kunyongwa).
Wengine ni Masumbuko Salum Hassan, Dar (kunyongwa), Luka Joseph Urio, Dar (maisha), Masome Frorian Anthony, Dar (maisha), Salum Mohammed Kitupura, Dar (kunyongwa), Begge Hemed Ahmed, Tanga (15) na Mwanjati James Simon, Dar (maisha).
...watuhumuiwa wengine waliokamatwa kwa kujihusisha na bishara hiyo haramu.
Wengine ni Mohammed Musa Mohammed, Dar (maisha), Omalla Donald Nyowino, Dar (15), Yahya Ally Seif, Kinondoni, Dar (maisha), Chande Mohammed Chande, Kinondoni, Dar (maisha), John James Amandus, Kinondoni, Dar (kunyongwa), Bantulaki Isihaka Ally, Tanga (kunyongwa), Zungiza Mohamed Ally, Dar (kunyongwa), Rashid Bakari Mzonge, Kimara Suka, Dar (maisha), Mende Katija Mikidadi, Ilala, Dar (maisha), Shame Shame Udai, Dar (maisha) na Mlenzi Mangala Hamisi, Dar (maisha).
Farida Sarboko Makarani, Zanzibar (kunyongwa), Adam Hariri Mohammed, Magomeni, Dar (18), Said Mfaume Said, hajatajwa wa wapi (kunyongwa), Mohammed Bakari Mkemi, haijatajwa wa wapi (kunyongwa), Mariam Ramadhan Mahimbo, hajatajwa wa wapi (kunyongwa), Julieth Jonathan Jaspher, haikusemwa anakotoka (kunyongwa), Halifa Matumla Ally, haijaandikwa atokako (kunyongwa), Rajabu Salum Mwanyenza, haijaandikwa atokako (kunyongwa), Ismail Mohammed Rajabu Mapusa, Magomeni Dar (maisha) na Hamisi Kombo Ally (kunyongwa).
...hawa ni watuhumiwa wengine waliohusika .
Waliopo mbaroni ambao pia hawajaandikwa watokako ni: Sephu Abdulrahman, Alfredy Thomas Singini, Lawrence Mbogoni Oni, Mohammed Ibrahimu Kilima, Wilfred Casmir Mushi, Shakira Ahmed Mumba, Jackline Benedict, Rajabu Rashidi Mshare, John Peter Martin, Abdallah Mwalimu Mbaruk, Rashid Mzee Mrisho, Juma Ismail Nayopa, Tsakiris Costa Achelis na Faith Michael Kabambe.
Wengine waliohukumiwa ni Bakari Badi Omari Mneko, Sinza, Dar (17), Masomi Thomas Joseph, Dar (17), Abdallah Iddi Ally, Tabata, Dar (17), Kondo Ally Mohammed (20), Mohammed Abubakar Nazzir (24), Abdallah Anwar Abasi (24), Makuti Al- Jaribu Hassan, Kilwa, Lindi (25), Abdallah Iddi Athuman (24), Mnyamani Hamad Ally, Tanga (22), Mtalu Rajabu Ally Rajabu, Kariakoo, Dar (17) na Shughuli Kibaya Bakari, Tanga (8).
Wengine ni Mfaume Omar Ng’anzi Msuya, Kariakoo, Dar (21), Steven Robert Onay (9), Omar Juma Mang’enge (8), Steven Simon Kanul, Dar (8), Iddi Haji Fumo, Unguja (9) na Seleman Hamisi, Unguja (8).
Pia wapo Athuman Hassan Nash, Magomeni, Dar (8), Seleman Hussein Msimbe (8), Abdallah Farid Twalib, Dar (17), Salim Ally Amani, haikutajwa anakotoka (22), Calist Wilson Mosha, Arusha (18) na Saleh Abdul Omar, Kigogo, Dar (21).
Wengine ni Bugingo Sweetbert Rwezaura, Kijitonyama, Dar (21), Mohammed Omari Ally, Zanzibar (19), Sayula Rashid Paul, hajatajwa atokako (16), Koshuma Geofrey Gabriel, Kijitonyama, Dar (30) na Salim Mrisho Hussein, Tanga (21).
Orodha inaendelea kama ifuatavyo: Riziki Riziki Hamduni, Kinondoni, Dar (19), Bashir Rajabu Kafune, Magomeni, Dar (19), Kharim Mohammed Omar, Ilala, Dar (19), Abubakar Abdul Ligalwike, Kinondoni, Dar (8).
Wengine waliofungwa na miaka yao katika mabano ni Pendo Ernest Kessy, Ilala, Dar (9), Anna Kiula, Kijitonyama, Dar (9), Nuru Shebe Maftah, Mwananyamala, Dar (9), Fatma Rashid, Dar (9) na Naima Abdulhafidh Rashid, Mwananyamala, Dar (9).
Pia wapo Mariam Madaresa, Arusha na Dar (9), Mohammed Omar Ally, Wete, Zanzibar (19), Faidhi Mohammed Abdallah, Kijitonyama, Dar (14), Mohammed Ijumaa Rashid, Mbezi Beach, Dar (10), Omari Musa Abdallah, Tanga (10), Zahra Ayubu Mwila, Korogwe na Kibaha (25) na Shamsa Gulum Shambe, Magomeni Mwembechai, Dar (16).
Wengine waliopo mbaroni ni Jeniffer Kessy, Mwananyamala, Dar, Shadia Issa, Mbezi Beach, Dar, Rosemary Asakwe Kionaumela, Mapipa, Dar na Samir Sandra Khalid.
Orodha ya waliohukumiwa inaendelea: Tatiana Bakari Chambo, Temeke, Dar (11), Ramadhan Maneno Mtumwa, Kijitonyama, Dar (14), Yusuf Herold John, Magomeni (18), Hassan Hiza Sebudu, Tanga (22), Halfa Abdallah Ng’anga, Ilala, Dar (19) na Nelson Anthony Dhinner, Kigogo, Dar (14).
Wengine waliohukumiwa ni Awadh Salehe Awadh, Kinondoni, Dar (24), Hasim Paul Syula, Mapipa, Dar (16), Fussy Abdu Mussa, haijatajwa anakotokea (17), Mtwanzi Carlos Adam, haijatwaja anakotoka (17) na Yusuf Abbas Kilima, Dar (5).
Wafuatao wametiwa mbaroni; Salum Mhibu Mkwawira, Tunduma, Mbeya, Juma Musa Juma wa Zanzibar, Nassor Mohammed Ayub wa Tanga, Jimmy Joseph Kivelege wa Dar, Kilugage Joram Masembo wa Kahama, Shinyanga, Manengelo Abdurahman wa Dar na Hamud Ali Mohammed (mji haukutajwa).
Wengine ni Eric Charles Mkude wa Tanga, Makame Khatibu Ali wa Kiembesamaki, Zanzibar, Abdulwahid Hamisi Mashauzi wa Singida, Said Ally Makame wa Zanzibar, Peter George Gyellah wa Tegeta, Dar, Said Abdallah Mzee wa Dar na Yusuf Chombo Khalid wa Dar.
Baadhi ya watuhumuiwa wa kike waliokamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga’.
Wafuatao wamehukumiwa na miaka yao kwenye mabano; Salehe Mohammed Aboubakar, Tanga (20), Abdul Omar Salehe, Dar (14), Omari Hussein Ally, Tanga (14), Kaliro Samson Majani Busagaga, Tarime, Mara (9), Mohammed Salum Mbaraka, Moshi, Kilimanjaro (9), Zuberi Musa Zuberi, Zanzibar na Dar (9), Adam Athumani Udindo (alikataa kutaja anakotoka, 14).
Wafuatao pia wapo mahabusu katika nchui mbalimbali, kesi zinaendelea; Frank Thomas Frank (Moshi), Nasra Hassani Masogoa (Dar), Nice Saidi Mbwana (Tanga na Dar), Josephine Raymond Malibanga (hakutaja atokako), Sara Yuga Mtinda (Singida), Amina Khamisi Bwanga (hakutaja atokako), Flora Frederick Siyame (Dar) na Zawadi Aloyce Henjewele (Songea).
Wengine ni Upendo Eric Shayo wa Moshi, Mariam Haruna Feruzi (Dar), Yusta Riwa (Moshi Kilimanjaro), Watende Sudi Kiwamba (Tabora), Elizabeth Yoram Kwambaza (Korogwe, Tanga), Mariam Shabibi (Dar) na Zahoro Mohammed Nassoro (Tanga).
Wengine waliokamatwa na wako mahabusu ni Rashid Nassoro Maumba (Mpanda), Mohamed Said Mrisho (Tanga), Suleiman Said Mpetula (Dar), Shaban Salum Mnyimani (Dar), Abood Yasser Ali (Tanga), Juma Shabani Ngoma (Tanga), Juma Akida Yusufu (Tanga) na Miraji Yusufu Semahimbo (Tanga).
Wengine ni James Christopher Lukio (Tanga na Dar), Rabin Issa Mbaba (Mafia), Abdallah Rajabu Dole (Dar), James Sakaya Henry (Dar), Bakari Kheri Nassoro (Dar), Faraji Juma Lota (Dar), Gervas Anselm Muganda Matura (Musoma), Rawe Waikama Magarya (Tarime) na Abdulraheem Sadiki Mohamed (Dar).
Wafuatao wamehukumiwa na miaka yao kwenye mabano ila miji waliyotoka Bongo haikutajwa; Rashid Habib Muhsin (9), Abdallah Saidi (16), Hiridi Mamdadi Issa (12), Juma Mohammed Mapande (16), Mwatadi Kulwa Hamisi (16), Hamisi Abdallah Mohammed (9), Erick John Ibrahim (16) na Abdallah Farid Salum (9).
Thuweni Hamadi Suleiman, Kileo Walter Exaudy na Jacqueline Clifford Fitzpatricque (Jack Patrick) hawa bado hawajahukumiwa.
IDADI YA NCHI
Katika orodha hiyo, China wapo Wabongo 65, Brazil 108, Kenya 34, Hong Kong 118, Pakistan 16, Falme za Kiarabu 12, Japan 7, Morihsaz 6, Uingereza 5, Malawi 5, Uganda 4, Oman 3, Uswisi 2, Italia 2, Marekani 2, Argentina 2, Uturuki 1, Ureno 1, Botswana 5, Chile 1, Afrika Kusini 3 na Msumbiji 1.
Orodha ni ndefu, kama una ndugu na unahisi amekumbwa na sakata hii lakini jina lake halipo gazetini unaweza kufika Ofisi za Global Publishers, Bamaga-Mwenge ukaoneshwa majina zaidi.
Uwazi liliongea na Kaimu Kamishna wa Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya, Aida Tesha (pichani) kuhusu kukamatwa kwa watu hao ambapo alikiri na kusema kuwa serikali inaendelea kufuatilia takwimu za Watanzania wengine ambao wamekamatwa nje ya nchi.



Views: 6600
 
Duh!! hatari, halafu usitake, jamaa fulani Mbongo kaanzisha mada humu JF iliyomhusu mwanawe rais kuhusika kwa hizi ngoma, ila ikachapwa chini na mods.


Mike Sonko: 10 Things You Should Know About Him:

#5 : Just like his colleagues Harun Mwau and
William Kabogo, Sonko would present the
image of a victim while claiming his life is
being threatened. In December 2010 , the
Central Intelligence Agency (CIA ) named
Sonko alongside Kilome MP Harun Mwau,
Juja MP William Kabogo and Kisauni MP
Hassan Joho as the leading drug lords in
Kenya... buzzkenya.com/mike-sonko-biography-facts/
 
kunyongwa uchina ebu nikumbushe lawmaina kama hatima yao sio kifo kwa shooting squad ya red army
kulevya.jpg


Watanzania 65 wauza 'unga' kunyongwa China


MAJINA 403 YA WAUZA UNGA YAANIKWA



Stori: Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa
HATIMAYE gazeti namba moja kwa habari za uchunguzi Tanzania, Uwazi limeyanasa majina 403 ya Watanzania waliokamatwa, kufungwa au kushikiliwa katika magereza mbalimbali duniani kwa makosa ya madawa ya kulevya ‘unga'.
Baadhi ya watuhumuiwa waliokamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga'.
Hivi karibuni, serikali ilikiri kukamatwa kwa Wabongo hao nje ya nchi na kusema baadhi yao wanasubiri kunyongwa baada ya kupatikana na hatia. Hata hivyo, serikali ilificha majina ya watu hao.
Ifuatayo ni orodha ya majina hayo na maeneo wanayotoka nchini Tanzania. Kwenye mabano ni hukumu zao.
Abdallah Ally Rashid Mbonde Fredue, Dar (miaka 15 jela), Mzia David Michael, Dar (22), Rashid Mzonge, Magomeni, Dar (maisha), Salum Jumbe Pigigi (maisha), Ramadhan Iddi Juma, Kinondoni, Dar (7), Saleh Happy Hambona, Dar (18), Michael Dalasi Taraja, Temeke, Dar (19) na Juma Omar Mgeni (kunyongwa).
Wengine ni Masumbuko Salum Hassan, Dar (kunyongwa), Luka Joseph Urio, Dar (maisha), Masome Frorian Anthony, Dar (maisha), Salum Mohammed Kitupura, Dar (kunyongwa), Begge Hemed Ahmed, Tanga (15) na Mwanjati James Simon, Dar (maisha).
...watuhumuiwa wengine waliokamatwa kwa kujihusisha na bishara hiyo haramu.
Wengine ni Mohammed Musa Mohammed, Dar (maisha), Omalla Donald Nyowino, Dar (15), Yahya Ally Seif, Kinondoni, Dar (maisha), Chande Mohammed Chande, Kinondoni, Dar (maisha), John James Amandus, Kinondoni, Dar (kunyongwa), Bantulaki Isihaka Ally, Tanga (kunyongwa), Zungiza Mohamed Ally, Dar (kunyongwa), Rashid Bakari Mzonge, Kimara Suka, Dar (maisha), Mende Katija Mikidadi, Ilala, Dar (maisha), Shame Shame Udai, Dar (maisha) na Mlenzi Mangala Hamisi, Dar (maisha).
Farida Sarboko Makarani, Zanzibar (kunyongwa), Adam Hariri Mohammed, Magomeni, Dar (18), Said Mfaume Said, hajatajwa wa wapi (kunyongwa), Mohammed Bakari Mkemi, haijatajwa wa wapi (kunyongwa), Mariam Ramadhan Mahimbo, hajatajwa wa wapi (kunyongwa), Julieth Jonathan Jaspher, haikusemwa anakotoka (kunyongwa), Halifa Matumla Ally, haijaandikwa atokako (kunyongwa), Rajabu Salum Mwanyenza, haijaandikwa atokako (kunyongwa), Ismail Mohammed Rajabu Mapusa, Magomeni Dar (maisha) na Hamisi Kombo Ally (kunyongwa).
...hawa ni watuhumiwa wengine waliohusika .
Waliopo mbaroni ambao pia hawajaandikwa watokako ni: Sephu Abdulrahman, Alfredy Thomas Singini, Lawrence Mbogoni Oni, Mohammed Ibrahimu Kilima, Wilfred Casmir Mushi, Shakira Ahmed Mumba, Jackline Benedict, Rajabu Rashidi Mshare, John Peter Martin, Abdallah Mwalimu Mbaruk, Rashid Mzee Mrisho, Juma Ismail Nayopa, Tsakiris Costa Achelis na Faith Michael Kabambe.
Wengine waliohukumiwa ni Bakari Badi Omari Mneko, Sinza, Dar (17), Masomi Thomas Joseph, Dar (17), Abdallah Iddi Ally, Tabata, Dar (17), Kondo Ally Mohammed (20), Mohammed Abubakar Nazzir (24), Abdallah Anwar Abasi (24), Makuti Al- Jaribu Hassan, Kilwa, Lindi (25), Abdallah Iddi Athuman (24), Mnyamani Hamad Ally, Tanga (22), Mtalu Rajabu Ally Rajabu, Kariakoo, Dar (17) na Shughuli Kibaya Bakari, Tanga (8).
Wengine ni Mfaume Omar Ng'anzi Msuya, Kariakoo, Dar (21), Steven Robert Onay (9), Omar Juma Mang'enge (8), Steven Simon Kanul, Dar (8), Iddi Haji Fumo, Unguja (9) na Seleman Hamisi, Unguja (8).
Pia wapo Athuman Hassan Nash, Magomeni, Dar (8), Seleman Hussein Msimbe (8), Abdallah Farid Twalib, Dar (17), Salim Ally Amani, haikutajwa anakotoka (22), Calist Wilson Mosha, Arusha (18) na Saleh Abdul Omar, Kigogo, Dar (21).
Wengine ni Bugingo Sweetbert Rwezaura, Kijitonyama, Dar (21), Mohammed Omari Ally, Zanzibar (19), Sayula Rashid Paul, hajatajwa atokako (16), Koshuma Geofrey Gabriel, Kijitonyama, Dar (30) na Salim Mrisho Hussein, Tanga (21).
Orodha inaendelea kama ifuatavyo: Riziki Riziki Hamduni, Kinondoni, Dar (19), Bashir Rajabu Kafune, Magomeni, Dar (19), Kharim Mohammed Omar, Ilala, Dar (19), Abubakar Abdul Ligalwike, Kinondoni, Dar (8).
Wengine waliofungwa na miaka yao katika mabano ni Pendo Ernest Kessy, Ilala, Dar (9), Anna Kiula, Kijitonyama, Dar (9), Nuru Shebe Maftah, Mwananyamala, Dar (9), Fatma Rashid, Dar (9) na Naima Abdulhafidh Rashid, Mwananyamala, Dar (9).
Pia wapo Mariam Madaresa, Arusha na Dar (9), Mohammed Omar Ally, Wete, Zanzibar (19), Faidhi Mohammed Abdallah, Kijitonyama, Dar (14), Mohammed Ijumaa Rashid, Mbezi Beach, Dar (10), Omari Musa Abdallah, Tanga (10), Zahra Ayubu Mwila, Korogwe na Kibaha (25) na Shamsa Gulum Shambe, Magomeni Mwembechai, Dar (16).
Wengine waliopo mbaroni ni Jeniffer Kessy, Mwananyamala, Dar, Shadia Issa, Mbezi Beach, Dar, Rosemary Asakwe Kionaumela, Mapipa, Dar na Samir Sandra Khalid.
Orodha ya waliohukumiwa inaendelea: Tatiana Bakari Chambo, Temeke, Dar (11), Ramadhan Maneno Mtumwa, Kijitonyama, Dar (14), Yusuf Herold John, Magomeni (18), Hassan Hiza Sebudu, Tanga (22), Halfa Abdallah Ng'anga, Ilala, Dar (19) na Nelson Anthony Dhinner, Kigogo, Dar (14).
Wengine waliohukumiwa ni Awadh Salehe Awadh, Kinondoni, Dar (24), Hasim Paul Syula, Mapipa, Dar (16), Fussy Abdu Mussa, haijatajwa anakotokea (17), Mtwanzi Carlos Adam, haijatwaja anakotoka (17) na Yusuf Abbas Kilima, Dar (5).
Wafuatao wametiwa mbaroni; Salum Mhibu Mkwawira, Tunduma, Mbeya, Juma Musa Juma wa Zanzibar, Nassor Mohammed Ayub wa Tanga, Jimmy Joseph Kivelege wa Dar, Kilugage Joram Masembo wa Kahama, Shinyanga, Manengelo Abdurahman wa Dar na Hamud Ali Mohammed (mji haukutajwa).
Wengine ni Eric Charles Mkude wa Tanga, Makame Khatibu Ali wa Kiembesamaki, Zanzibar, Abdulwahid Hamisi Mashauzi wa Singida, Said Ally Makame wa Zanzibar, Peter George Gyellah wa Tegeta, Dar, Said Abdallah Mzee wa Dar na Yusuf Chombo Khalid wa Dar.
Baadhi ya watuhumuiwa wa kike waliokamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ‘unga'.
Wafuatao wamehukumiwa na miaka yao kwenye mabano; Salehe Mohammed Aboubakar, Tanga (20), Abdul Omar Salehe, Dar (14), Omari Hussein Ally, Tanga (14), Kaliro Samson Majani Busagaga, Tarime, Mara (9), Mohammed Salum Mbaraka, Moshi, Kilimanjaro (9), Zuberi Musa Zuberi, Zanzibar na Dar (9), Adam Athumani Udindo (alikataa kutaja anakotoka, 14).
Wafuatao pia wapo mahabusu katika nchui mbalimbali, kesi zinaendelea; Frank Thomas Frank (Moshi), Nasra Hassani Masogoa (Dar), Nice Saidi Mbwana (Tanga na Dar), Josephine Raymond Malibanga (hakutaja atokako), Sara Yuga Mtinda (Singida), Amina Khamisi Bwanga (hakutaja atokako), Flora Frederick Siyame (Dar) na Zawadi Aloyce Henjewele (Songea).
Wengine ni Upendo Eric Shayo wa Moshi, Mariam Haruna Feruzi (Dar), Yusta Riwa (Moshi Kilimanjaro), Watende Sudi Kiwamba (Tabora), Elizabeth Yoram Kwambaza (Korogwe, Tanga), Mariam Shabibi (Dar) na Zahoro Mohammed Nassoro (Tanga).
Wengine waliokamatwa na wako mahabusu ni Rashid Nassoro Maumba (Mpanda), Mohamed Said Mrisho (Tanga), Suleiman Said Mpetula (Dar), Shaban Salum Mnyimani (Dar), Abood Yasser Ali (Tanga), Juma Shabani Ngoma (Tanga), Juma Akida Yusufu (Tanga) na Miraji Yusufu Semahimbo (Tanga).
Wengine ni James Christopher Lukio (Tanga na Dar), Rabin Issa Mbaba (Mafia), Abdallah Rajabu Dole (Dar), James Sakaya Henry (Dar), Bakari Kheri Nassoro (Dar), Faraji Juma Lota (Dar), Gervas Anselm Muganda Matura (Musoma), Rawe Waikama Magarya (Tarime) na Abdulraheem Sadiki Mohamed (Dar).
Wafuatao wamehukumiwa na miaka yao kwenye mabano ila miji waliyotoka Bongo haikutajwa; Rashid Habib Muhsin (9), Abdallah Saidi (16), Hiridi Mamdadi Issa (12), Juma Mohammed Mapande (16), Mwatadi Kulwa Hamisi (16), Hamisi Abdallah Mohammed (9), Erick John Ibrahim (16) na Abdallah Farid Salum (9).
Thuweni Hamadi Suleiman, Kileo Walter Exaudy na Jacqueline Clifford Fitzpatricque (Jack Patrick) hawa bado hawajahukumiwa.
IDADI YA NCHI
Katika orodha hiyo, China wapo Wabongo 65, Brazil 108, Kenya 34, Hong Kong 118, Pakistan 16, Falme za Kiarabu 12, Japan 7, Morihsaz 6, Uingereza 5, Malawi 5, Uganda 4, Oman 3, Uswisi 2, Italia 2, Marekani 2, Argentina 2, Uturuki 1, Ureno 1, Botswana 5, Chile 1, Afrika Kusini 3 na Msumbiji 1.
Orodha ni ndefu, kama una ndugu na unahisi amekumbwa na sakata hii lakini jina lake halipo gazetini unaweza kufika Ofisi za Global Publishers, Bamaga-Mwenge ukaoneshwa majina zaidi.
Uwazi liliongea na Kaimu Kamishna wa Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya, Aida Tesha (pichani) kuhusu kukamatwa kwa watu hao ambapo alikiri na kusema kuwa serikali inaendelea kufuatilia takwimu za Watanzania wengine ambao wamekamatwa nje ya nchi.



Views: 6600

[h=3]Five Kenyans to hang over drugs in China[/h]Updated Tuesday, June 2nd 2009 at 00:00 GMT +3


By Cyrus Ombati
Five Kenyans have been sentenced to death in China after they were found guilty of drug trafficking.
Six others have been condemned to life imprisonment in Chinese jails for drug peddling, The Standard has established.
And 20 others, majority of them young women, are serving a cumulative jail term of 150 years. Some of them may not even have known that they were carrying drugs.
These are among more than 200 Kenyans currently being held in various jails in China, India, Pakistan, UK and other Asian countries over drug-related offences.
Some of those already serving jail terms were university students before they were lured to serve as drug couriers. Among those sentenced to death are Mr Peter Amisi Obonyo, 36, who was arrested in Shenzhen, China. Others are Ms Josephine Achieng Onim, 25, and Ms Grace Lucy Omondi, 57 both arrested in Guangzhou on different dates.
Ms Leah Muthoni Mweru Kimani and Ms Christine Nyabera Ongowo, 47, were also sentenced to death after being arrested with drugs in Guangzhou. Those sentenced to life imprisonment are Margaret Mudasia Engesia, 36; Ms Oliviah S. Munoko, 26; Ms Peris Mumbi, 39; Jemimah Wairimu Wangai, 43; Ms Catherine Wambui, 39; and Ms Jacinta Wambui Kuria, 44.
More Arrests
The Ministry of Foreign Affairs confirmed the number but said the figure could be higher as more Kenyans had been arrested last month on drug-related offences and their particulars remained unclear.
The acting Head of Press and Communications
Unit at the Foreign Affairsministry, Mr Kiboi Waituru, however, clarified that none of those handed death sentences has been hanged yet.
The Standard has also established that many other Kenyans are serving sentences in jails around the world for drug-related offences, but the Government is unaware because they used fake documents, or were not registered with Kenyan missions abroad. A number of them have died in foreign jails.
"It is unfortunate that some of our missions do not have records of Kenyans arrested or serving sentences on drug charges because many of them do not register with the embassies as required. Some only do so when seeking assistance when they encounter problems," said Waituru. Most of the convicts were caught carrying a kilo or less of the drugs, which range from cocaine to heroin and amphetamines. The traffickers are usually paid between Sh200, 000 and Sh300,000 on delivery of the drugs. Waituru said police in other countries contact the Kenyan missions to verify the nationality of suspects arrested while traveling on Kenyan passports.
The Government too assists the families of those in custody to travel abroad to visit their relatives. A list of names of the traffickers in Chinese jails alone, a copy of which was obtained by The Standard, show that some Kenyans were given death and life sentences after pleading "guilty" to the charges.
Many of the traffickers were arrested in Hong Kong, Shenzhen, Guangzhou and Beijing on diverse dates between 2007 and last month. "Some of them have had their sentences commuted to life imprisonment for good behaviour while in jail. They are hardly executed," Waituru said.
Some Confessed
A big number of the Kenyans in custody have allegedly confessed they had been recruited by a Nigerian drug kingpin - a Mr Ken Amadu Obina Okuoma - in Nairobi. Okuoma has since been deported.
Okuoma had operated a drugs empire in Kenya for more than a decade until early this year when he was caught in a dramatic police operation. He was also linked to the arrest of former Miss Tourism and fashion model Ms Loise Ambasa, who was found with 4.2kg of cocaine valued at Sh21 million on arrival at Nairobi's JKIA airport from Accra, Ghana, in 2005. She was released in November last year after police failed to produce a bag that they had earlier claimed contained the drugs.
Police investigations show that drug barons operating from Nairobi have been recruiting couriers, especially young women, who are lured with the promise of large amounts of money and lavish lifestyles.
Head of CID's Anti-Narcotics Unit Ms Judy Auma said the number of Kenyans in custody over drug offences abroad could be higher because some of the cases go unreported.
http://www.standardmedia.co.ke/business/article/1144015775/five-kenyans-to-hang-over-drugs-in-china
 
Askari wa Kikosi cha Maadili Saudia- Saudi morality police/Committee for the Promotion of Virtue and the Prevention of Vice a.k.a Haia, hawana cha Mswalie Mtume, ukikamatwa unafanya mambo kinyume na maadili ya Saudia ujue hawakuachii, hivyo hawa kina dada toka kwa watani wetu wa jadi wajue huko Saudi Arabia sheria hazipindishwi kama nchi zingine.
 
Geza, hii ndio the oldest professional na ndiyo ajira inayo employ the biggest work force duniani!.

Wewe umeona Wakenya tuu?!, kwa taarifa hii ndio biashara kubwa ya dada zetu, Dubai, Bankok, Hongkong, Macau, na Ghanzou!.

Wale mala.. wa Dubai, wanaolipwa pesa ndefu ni Baganda Ladies, inasemekana wao ni "asali!", nilipelekwa mahali kwenye bonge la hoteli, 5 stars, kiingilia ni dirham 50, humo ndani shughuli ni moja, unapita kwenye corridors milango ya vyumba iko wazi huku "bidhaa" zikiwa on display!, ukipendezewa ni Dirhams 200 per hour!. Nilipendezewa mahali nikaelezwa huyo ni Mganda!, kukuta si Mganda bali ni mbongo!, tena tunaishi nae mtaa mmoja yeye akitokea familia bora!, kwao hana shida yoyote hadi kujiuza Dubai!, kumbe ndio fedha za mtaji wa nyingi ya hizi boutique za Sinza na Kinondoni!.

Hakuna stoning to death hadj ushuhudiwe na watu wazima wanaume rijali!. Kule mkishalipa mlango unafungwa!.

Nliwahi kushauri hii biashara ihalalishwe! [h=3]Opinion: Is It Not, Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The...[/h]Pasco

Mkuu, naomba unitajie hiyo hotel yenye hadhi ya nyota 5, ili jioni nikitoka kubeba mabox nipitie nikajiridhishe.
Here we dare talk openly
 
Back
Top Bottom