Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Lol. It is Iconoclastes, Latin for the English word Iconoclast; a persson who attacks cherished beliefs or traditional institutions.Nimeshikwa na mafua kali, tokea asubuhi nimeketi kwa nyumba napitia forum na simu.. Anyway sahii angalau imepungua, From my view.. Mwanzi1 ako very persistent, ukianzana na yeye mtaenda mpaka uamue wacha yaishe, I salenda! Haha,
Kadoda11 has pia hua ako sensible .... Geza nashuku hua anashikwa na wazimu mara nyengine hahahaha, anyway, tunampatia kwa kuhakikisha yeye ni enemy number 1 kwa wakenya
Kwa upande wa kenya, MK254 ye ndo nanga ya wakenya, siku akipotea basi hapa patakua hapana raha tena, Sam999 , Iconoclas... What? Hilo jina ulipata wapi? Hua nashindwa kulitaja, lakini sikuhizi hua unapotea potea, lakini pia mimi sikuhizi siko full time...Wanjala pia anarepresent,, Nairobiwalker, Nivlark lakini yeye hua ni part time but ako sawa...
Alafu kuna wale vichwa maji wanajijua, uharo kila Mahali, jamaa anaeza anzisha mada na ajijibu mwenyewe ukurasa 10 kabla mtu wa pili aongezee
Hiki kiswahili cha kihindi mkuu!tuko kadhaa wenye hupitia chini ya waba...labda ni venye sisi ni ni ma introverts....lakini iyo crew yote ya tz na ke naitambua...@kadoda11 nice thread..
Haha. niko poa. Yep, i became a silent observer...i got busy.Dah Dani5 umekuwa wapi?Uko vipi sisteh,naona tabia yangu ya kupitia jf kimya kimya ulishai'adopt' kabisaa.
Iconoclastes, on your doubts about religion we can chit chat., check my blog; www.festoyosef.wordpress.com am sory, this is a deviate from the thread., apologies.Lol. It is Iconoclastes, Latin for the English word Iconoclast; a persson who attacks cherished beliefs or traditional institutions.
I have been having my doubts regarding religion; questioning the teachings, some of the values they preach, the beliefs.....
i have also read some gnostic books that have shaken my beliefs am following that blog definately to see what you offerIconoclastes, on your doubts about religion we can chit chat., check my blog; www.festoyosef.wordpress.com am sory, this is a deviate from the thread., apologies.
Kafrican,
Nivlark,
Sammuel999 and his younger, less sentimental brother, sam999 (dont kill me Sam, I didnt say u are sentimental),
MK254, the arch- debator on the Jf Kenya, his brilliant command of both languages and profound grasp of a wide array of issues has made him quite a legend here,
Mwanzi1,
Geza Ulole, Kenyans may not like him but c'mon, he' s good,
Kimweri- I dont know when he will finish his jail term, but he's also frighteningly good,
Econometrician,
EngineerLMG,
Edward Wanjala
kui,
I dont know if Jack Daniel's is still alive. Bad quidnunc!
Tobaa,
Mwanzi1,
JokaKuu
and not forgetting NairobiWalker, who is currently in Nigeria, battling them on on their own forum.
Yea I get it.Being busy is not all bad it means you are gaining something on the other side.Ha!Namaanisha upande wa pili.Me too am on the hustle 12hours a day 6days a week am practically a zombie!No time to be on jf.Haha. niko poa. Yep, i became a silent observer...i got busy.
Kimweri alipotelea wapi? he was articulate, systematic when responding, and factual. am starting to like some two blind patriots., hata kama mara nyingi am not in agreement with them, just like their debating prowes; Ichoboy na Annael, hawawezi kubali kushindwa, lazima walazimishe Tanzania ionakane juu ya Kenya hata kama si ukweli, they are my guys.
people say "travelling is a method of learning".enyewe the hardest guy kudebate naye ni geza mara nyingi wakiungana yeye kadoda11 na annael thread huwa very interactive.. Big up you three, although geza tumepitana kiasi ni Hali ya jamii forum
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Jana nilipitia juu juu hapa lakini nilikuwa busy kidogo (yes some of us Sunday is like any other day). Huu ni uzi mzuri kwa kupima joto la TZvsKE. Maana wakati mwingine watu wanachukulia haya maneno ya mtandaoni very personal. Kitu ambacho sio sawa, pamoja na kuambiana maneno makali lakini sidhani kama kuna mtanzania au mkenya ambaye anaombea nchi ya mwezake mabaya. (Well labda wapo I don't know)
But to be honest Kafrican na Edward Wanjala ni watu walio patriotic sana. Wanaipenda nchi yao kwa moyo mmoja. Mara nyingi watafuta ukweli hata kama utachukuwa muda mrefu lakini watatetea hoja kwa vielezo vya kamili.
Geza Ulole na Anneal hawa ni national treasure kwetu Tanzania. Hawa watu ndio ukuta wetu wa mwisho kwenye mapambabo, hakuna silaha itaachwa nyuma kama hawa wakiwepo.
Kidoda11 kwa Tanzania na Iconoclastes kwa Kenya ni kama maprefect wetu hapa, they make sure mada ina changamka vizuri.
Geza, Annael, Mk, Colomhuzi and so many..uzi.umetulia big up Kkwa mda mrefu,mijadala mbalimbali imekuwa ikijadiliwa katika subsection ya kenyaforum na kupelekea kuvutia wachangiaji na
viewers wengi.
kenyaforum imejipatia wachangia mada wazuri wa kudumu na wasio wa kudumu,baadhi yao wameacha alama zinazofanya wawe mfano wa kuigwa.
napenda leo tuweke tofauti zetu za kinchi na utaifa kando,tuambiane ni member yupi anayekuvutia katika mijadala unaposoma maandiko yake.
binafsi wanaonivutia ni hawa hapa:
Geza Ulole,MK254 na Edward Wanjala.
Geza Ulole.
huyu mkuu ndio mtu aliyenivutia niweke kambi ya kudumu hapa kenyaforum.
nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2011 nilipojiunga tu na jf.nilibaini kuwa geza alikuwa ni mmoja ya watz wachache waliothubutu kupambana kwa hoja na wakenya kwa wakati huo.
alikuwa anajitahidi sana kupangua hoja za wakenya zilizokuwa zimeegemea katika ku-stereotype watanzania na mitazamo mbalimbali hasi.
ghafla nikawa inspired naye na kumfanya kuwa role mode wangu.
to me he is my all time icon in kenyaforum.
MK254
brother MK254 ni mmoja kati ya wakenya wachache hapa kenyaforum anayemudu kuandika comments zake kwa kiswahili kinachoeleweka na watu wengi.
kwa hakika ananivutia sana na ninampa pongezi kwa hilo.
yupo tofauti na baadhi ya wakenya wengi ambao hawamudu kuandika paragraph nne au tano kwa lugha ya kiswahili na zikaeleweka na watu wengi.
kuna wakati aliwahi kukiri kwamba kuishi kwake tanzania kulimsaidia sana kuboresha kiswahili chake.
Edward Wanjala
huyu jamaa ni mkenya na hana mda mrefu hapa jamiiforum,kajiunga mwaka 2016.
licha ya kutokuwa mkongwe wa jf, kuna vitu ambavyo huwa ananivutia na kumfanya kuwa one of my best conversationalist in kenyaforum.
wanjala ana hekima ambayo inakushawishi uendelee kujadiliana naye au usome maandiko yake.
yupo tofauti na wakenya wengi tulionao jf.wengi weo mjadala unapokuwa umepamba moto hususani inapotajwa kenya,huishia kupatwa na jazba na kuanza kutukana.
wanjala yupo tofauti katika hilo.huwa ninamtania kwa kumuita "mtu mwenye njaa" na wala hakasiriki.[emoji23]
sasa nakabidhi topic kwenu member wenzangu,kuwa huru kutuambia ni member yupi anayekuvutia katika mijadala hapa kenyaforum.taja member yoyote anayekuvutia awe mtanzania au mkenya.
pia nakaribisha comments toka kwa member wa majukwaa mengine maarufu kama siasa na MMU.tunajua baadhi yenu huwa mnapita kimya kimya huku kenyaforum kufatilia mijadala mbalimbali inayoendelea.
NB:
kenyans and tanzanians this is a no beef thread,so put aside the hate for one minute,try to be objective and unbiased.tell us who is your best conversationalist in kenyaforum?
Kuna jamaa huwa namkosa sana, anaitwa JokaKuu siku hizi huwa namwona amekomaa na nyuzi za kibongo, amesusa Kenyan forums kabisa. Yule jamaa alikua na uelewa wa juu kwenye kila aina ya mada halafu hana chembe chembe za kibaguzi, ni mzalendo tu kwa nchi yenu.
Mwanzoni nilikua napata jazba kila nikiona majibu yaliyojaa kejeli kutoka kwa Wabongo, na nilikua najibu tusi kwa tusi, lakini huyu jamaa alinifanya nianze kuwa na mtazamo chanya na kuwa na imani kwa baadhi ya Watanzania, kwamba kuna baadhi yenu mna uwezo wa kujadili hoja kwa kuzingatia mantiki na hekima.
Upande wa Kenya kuna Sammuel999 na Kafrican hawa jamaa sijui taaluma zao lakini wakianza kujadili hoja inabidi ujipange maana watatiririka na kudhihirisha ufahamu wao wa hali ya juu. Kuna wengine pia kutokea nchi zote mbili huwa wako sawa sana, na bila kuwasahau yule Mnigeria na jamaa wa kutokea Afrika Kusini ambao walitoweka kwa kuchoshwa na mada za Kiswahili.