Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
Bro,, hakuna aliyeomba chakula hapo. Wamarekani wanajaribu kujikombakomba wenyewe ili tuwapatie deals kwa kupeana chakula kitakachopewa refugees kule KakumA.Kwa hiyo wakenya hela ya chakula mnanunua condom alafu mnaomba msaa da wa chakula?
Huo ni umalaya
Sent using Jamii Forums mobile app







