idumu
Member
- Jun 5, 2009
- 44
- 1
Jamani watz mko wapi?? Kenya imekuwa ikitumia mlima kilimanjaro kwa manufaa ya nchi hiyo Mfano Kwas sasa wanautanganza Mt kiliamnjaro kupitia DSTV kwenye mashindano ya FIFA CONFEDERATION CUP yaliyoanza Tar 14 June 2009, kwa kutoa tangazo:
Mt kilimanjaro - " MASAI KENYA"
Wizara ya Utalii mpo?? MBONA MMELALA.
ndg Rais JK WAAMSHE HAWA MAWAZIRI wanatuangusha
Mt kilimanjaro - " MASAI KENYA"
Wizara ya Utalii mpo?? MBONA MMELALA.
ndg Rais JK WAAMSHE HAWA MAWAZIRI wanatuangusha