Kenya yaendelea kuthibitisha kwamba si nchi usalama, Tajiri wa kizungu auliwa kinyama

mnavyotojadili huu uzi ni kama Tanzania na Kenya ni maadui wakubwa wakati juzijuzi tumeshuhudia Kenya wakirudisha dhahabu na fedha zilizoibiwa Tanzania.
East Afrika ni moja na sisi ni ndugu ndio maana kuna wajaruo na wamasai nchi zote
Kojoa ukalale
 
That guy wishes he was a Kenyan. Yaani alikuwa anawatch hii kitu live at the same time yenye sisi huku Kenya pia tunaiwatch live. Lazima ako na Dstv kutazama vipindi vya Kenya halafu anatutusi kila siku.
Vichannel vyenu viko cheap siyo lazima Dstv, ata ukiwa na antenna ya panzi unavipata.
 
Kenya is among of top 10 dangerous countries in the world !!!? Pls give us a source of this fact....


Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.

Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
 
Hahahaha, hahahaha, Nina uhakika wewe sio miongoni mwa hilo kabila.

Mambo vipi hapo Nairobi?
Although most visits to Tanzania are trouble-free, violent and armed crime is increasing. Take sensible precautions to protect yourself and your belongings.
Ni noma Buda hapa Nai Mtanzania atachanganyikiwa afikiri Yuko Ulaya😂😂😂
 
That guy wishes he was a Kenyan. Yaani alikuwa anawatch hii kitu live at the same time yenye sisi huku Kenya pia tunaiwatch live. Lazima ako na Dstv kutazama vipindi vya Kenya halafu anatutusi kila siku.
Imagine hata mimi niko Kenya na sijawatch kwa TV, nimeiona tu Facebook yet yeye anawatch life. Kweli Kenya is the USA of East Africa.
 
Yet richer than your coward state.

Kenya GDP 2019 - $100 billion
Tanzania GDP 2019 - $60 billion
Most dangerous cities in Africa, Again Nairobi among top ten.
 
Richer but you kill each other like Afghanistan, no one is sure of tomorrow, which is better?
Hio ni uwongo. Afghanistan ni war zone. How dare you compare Kenya to a war zone. Afghanistan is worse than Somalia. Hata kama ni chuki
 
Hio ni uwongo. Afghanistan ni war zone. How dare you compare Kenya to a war zone. Afghanistan is worse than Somalia. Hata kama ni chuki
When it comes to police killings and extra judicial killings, Kenya tops the list in Africa.https://www.nation.co.ke/news/Kenya-top-Africa-police-shootings/1056-3824890-1183k27/index.html

Sina chuki na Kenya, ninataka kuwa onyesha mambo ya msingi mnapaswa kuyashughulikia, sio vitu mnavyoshabikia ambavyo sio muhimu kwa sasa
 
When it comes to police killings and extra judicial killings, Kenya tops the list in Africa.https://www.nation.co.ke/news/Kenya-top-Africa-police-shootings/1056-3824890-1183k27/index.html

Sina chuki na Kenya, ninataka kuwa onyesha mambo ya msingi mnapaswa kuyashughulikia, sio vitu mnavyoshabikia ambavyo sio muhimu kwa sasa
Last 2 weeks zaidi ya watu mia walikufa Afghanistan juu ya terrorism hadi Trump akacancel peace agreement na Taliban. Watu wangapi Kenya walikufa last week juu ya police shotings?
 
Na pia ikaiweka somalia kuwa nchi salama zaidi kuliko kenya
Hahahaha, Mdude ndio nani tena?, sisi tunakuletea habari za Leo Leo ambazo hutokia kila siku huko Kenya. Hii ndio sababu Forbes imeiweka Kenya ni namba 7 katika nchi hatari zaidi duniani, kwa mwendo huu ni wazi " next report" Kenya itapanda hadi namba 2 " watch my words".
 
Back
Top Bottom