Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
Kojoa ukalalemnavyotojadili huu uzi ni kama Tanzania na Kenya ni maadui wakubwa wakati juzijuzi tumeshuhudia Kenya wakirudisha dhahabu na fedha zilizoibiwa Tanzania.
East Afrika ni moja na sisi ni ndugu ndio maana kuna wajaruo na wamasai nchi zote