joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
- Thread starter
- #21
Hujanijibu swali langu, upo wapi?Ungenyamaza ungeonekana mwerevu. Koma kuhukumu watu. KOMA KABISA!
Hujanijibu swali langu, upo wapi?Ungenyamaza ungeonekana mwerevu. Koma kuhukumu watu. KOMA KABISA!
Hujanijibu swali langu, upo wapi?
Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.
Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
Yaweza kuwa unaongea ukweli maana huyo mkikuyu hajaonekana humu kwa siku nyingi. Kumbe amekuwa akidedisha watu kwa ajili ya mali. Amekamatwa?Narudia tena Mkikuyu kwenye Mali na Ardhi anakudedisha live.
Hahahaha, Mdude ndio nani tena?, sisi tunakuletea habari za Leo Leo ambazo hutokia kila siku huko Kenya. Hii ndio sababu Forbes imeiweka Kenya ni namba 7 katika nchi hatari zaidi duniani, kwa mwendo huu ni wazi " next report" Kenya itapanda hadi namba 2 " watch my words".Mdude yuko wapi
Hiyo ni tabia ya wanawake wa Kikuyu. Wajinga wasiowajua wanaingia kichwa kichwa kama mzungu huyo.& you say Tanzanians are not tribal. Huu si ukabila unaendekeza hapa? Nani kakwambia nipo Nairobi?
Upo turkana kumbe& you say Tanzanians are not tribal. Huu si ukabila unaendekeza hapa? Nani kakwambia nipo Nairobi?
Yule mwanamama yupo turkana hukoNisamehe sana, nilidhani upo Nairobi, uko wapi hivi sasa?
Wewe tuliza nyege.Upo turkana kumbe
Hahahaha eti "HAKUJUA KM ANAWEKEZA KWENYE NCHI HATARI SANA DUNIAN NA KIBAYA ZAIDI HAKUJUA KM ANAMUOA MMAMA WA KABILA KATILI ZAIDI HAPA AFRIKA MASHARIKI NA KATI".
Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.
Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
Hili jitu la kishetani kazi yake tu ni kila siku kutafuta "evil news" za Kenya .Gotta wonder how vile ,evil and dark hearted this guy really is.Hakuna mauaji na watoto na walemavu wa ngozi huchinjwa kama kuku? Kenya is 'more heaven' than Tanzania
Umesikia tony alivyo niambia kuusu wewe kukataa kunipa kampani ya kunitembeza NAII eti anasema nikushawishi Kwa chapo mnapenda sana chapo ? Eti nikununulie chapo 6 morning 6 nyingine afternoon and another 6 chapo evening hapo lazima utakubali .kumbe wakenya mnapenda kula hivyo!!!Is it true that you are the SI UNIT OF STUPIDITY? Can't believe it
Cc: eliakeem
Nyie endeleeni kujifurahisha na past stories.Hili jitu la kishetani kazi yake tu ni kila siku kutafuta "evil news" za Kenya .Gotta wonder how vile ,evil and dark hearted this guy really is.
Bangladesh slum mombasa& you say Tanzanians are not tribal. Huu si ukabila unaendekeza hapa? Nani kakwambia nipo Nairobi?
Yupo Kwa slum za Mombasa Bangladeshi slumNisamehe sana, nilidhani upo Nairobi, uko wapi hivi sasa?
Hahahahahaaaa.. Joto la Jiwe unawashika pabaya manyan'gau. Siyo kwa mapovu hayaHili jitu la kishetani kazi yake tu ni kila siku kutafuta "evil news" za Kenya .Gotta wonder how vile ,evil and dark hearted this guy really is.