Hapo kwetu tanzania sms za uchochezi sasa zimekuwa kama jambo la kawaida ..na hakuna hatu zozote zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaosambaza sms za uchochezi zinazohatarisha amani na kuongeza chuki miongoni mwa watanzania. Kuchukuliwa hatua pia makampuni ya cm kuruhusu usambazaji wa sms hizo ... Wenzetu kenya tayari wamechukua hatua ..sisi je.