Kenya wamepiga marufuku makampuni ya simu kuruhusu usambazaji wa sms za uchochezi

KIBE

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
943
184
Hapo kwetu tanzania sms za uchochezi sasa zimekuwa kama jambo la kawaida ..na hakuna hatu zozote zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaosambaza sms za uchochezi zinazohatarisha amani na kuongeza chuki miongoni mwa watanzania. Kuchukuliwa hatua pia makampuni ya cm kuruhusu usambazaji wa sms hizo ... Wenzetu kenya tayari wamechukua hatua ..sisi je.
 
Hapo kwetu tanzania sms za uchochezi sasa zimekuwa kama jambo la kawaida ..na hakuna hatu zozote zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaosambaza sms za uchochezi zinazohatarisha amani na kuongeza chuki miongoni mwa watanzania. Kuchukuliwa hatua pia makampuni ya cm kuruhusu usambazaji wa sms hizo ... Wenzetu kenya tayari wamechukua hatua ..sisi je.

Madhara ya serikali legelege
 
wako siriaz

Sasa hapa watapigaje wakati CCM ndio vinara wa sms za kashfa na uchochezi???

Yu wapi yule Shamte??
 
Mkuu hapa kwetu tunataka wafungie Radio Imaan na gazeti Al-nuur ambalo siku hizi linawaitwa wakristo ni MBWEHA,

hapo ndo tuhamie kwenye sms.
 
Tanzania haiwezi kupiga marufuku makampuni haya kwa vile serikali ya sasa inanufaika na jinai hii. Hata viwango vya kupiga na kupokea simu tunavyotozwa Tanzania ni ujambazi mtupu. Hii yote inasababishwa na baadhi ya watawala wetu mafisi na mafisadi kuwa na hisa katika makampuni haya. Leo kampuni linaloendeshwa na mtoto wa Makamba kwa mfano haliwezi kugushwa. Huwezi kujua waliopo nyuma ya pazia. Angalia mawasiliano yetu yalivyo ya hovyo. Ajabu akina Chenge na wezi wenzake walituibia kwa kununua mikangafu ya rada na upuuzi mwingine na bado tunawavumilia. Hapa inapaswa kujilaumu kama wananchi ambao tunakubali kugeuzwa mbuzi wa kafala na kila **** na jambazi.
 
Meseji za fitina na uchochezo ziliiweka CCM madarakani.
nani atazipinga Tanzania

Kenya walishang'atwa na nyoka wanajua uchungu.

Serikali legelege, Raisi Dhaifu kiuongozi na hata kiafya
Taasisi zimekufa...Nchi si tofauti na shimo la panya kwasasa.

Tunaongozwa na nyang'au wengi kuliko kondoo, nani atasema LABDA meseji hizo ziandikwe na MwanaHalisi zitakuwa jinai...
 
Back
Top Bottom