Animal Keeper
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 348
- 283
DuuuuuuhWakenya wajue mpaka sasa hatujapata wakalimani.
DuuuuuuhWakenya wajue mpaka sasa hatujapata wakalimani.
wambie wakenya tuna rais asiyeweza kuongea lugha za kimataifaView attachment 391109
Serikali ya Kenya imepuuza kutokuwapo kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli wakati wa mkutano wa kimataifa uliomazika hivi karibuni nchini hapa.
Hilo limetokana na kuenea kwa minong'ono na wasiwasi miongoni mwa wakenya juu ya dhamira yake ya utangamano wa kikanda.
Wakenya wengi walitarajia Rais Magufuli kama Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki na uwapo wa Japan kupitia mpango wake wa ushirikiano na maendeleo ya Africa (Ticad) angehudhuria mkutano huo.
Lakini Waziri wa mambo ya nje wa Kenya, Amina Mohamed, alipuuza madai hayo akisema Rais Magufuli alituma mwakilishi, Waziri Mkuu Kassim majaliwa.
"Si yeye pekee ambaye hakuhudhuria mkutano, kusema kweli aliwakilishwa vyema na hakuna haja ya kuhofia. Tanzania na Kenya zina uhusiano mzuri, tuache kujikita kuwa wabaya "alisema Waziri Amina Mohamed katika mahojiano kwa njia ya simu.
Tangu aingie madarakani Oktoba mwaka jana, Rais Magufuli ametembelea Uganda na Rwanda pekee.
Tofauti na mtangulizi wake Jakaya Kikwete ambaye alijulikana kwa kusafiri nje, Rais Magufuli amejikita katika masuala ya nyumbani, akimbambana na ufisadi katika utumishi wa umma.
Chanzo: Mtanzania
Majirani pia wameanza kutucheka Siku hiziView attachment 391109
Serikali ya Kenya imepuuza kutokuwapo kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli wakati wa mkutano wa kimataifa uliomazika hivi karibuni nchini hapa.
Hilo limetokana na kuenea kwa minong'ono na wasiwasi miongoni mwa wakenya juu ya dhamira yake ya utangamano wa kikanda.
Wakenya wengi walitarajia Rais Magufuli kama Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki na uwapo wa Japan kupitia mpango wake wa ushirikiano na maendeleo ya Africa (Ticad) angehudhuria mkutano huo.
Lakini Waziri wa mambo ya nje wa Kenya, Amina Mohamed, alipuuza madai hayo akisema Rais Magufuli alituma mwakilishi, Waziri Mkuu Kassim majaliwa.
"Si yeye pekee ambaye hakuhudhuria mkutano, kusema kweli aliwakilishwa vyema na hakuna haja ya kuhofia. Tanzania na Kenya zina uhusiano mzuri, tuache kujikita kuwa wabaya "alisema Waziri Amina Mohamed katika mahojiano kwa njia ya simu.
Tangu aingie madarakani Oktoba mwaka jana, Rais Magufuli ametembelea Uganda na Rwanda pekee.
Tofauti na mtangulizi wake Jakaya Kikwete ambaye alijulikana kwa kusafiri nje, Rais Magufuli amejikita katika masuala ya nyumbani, akimbambana na ufisadi katika utumishi wa umma.
Chanzo: Mtanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tupo twisheni jamani..
angekua mtendaji mwengine kila siku anawakilishwa kama mposaji,hilo jipu lingeshatumbuliwa..
[emoji32] [emoji32] [emoji32]Wakenya wajue mpaka sasa hatujapata wakalimani.
Utafikiri we unaijua hiyo lugha.Lugha
Kumbe tuko wengi.... Daah hata mimi nikitaka kucharaza ngeli najikuta natetemeka tu.ngeli
Niijue inisaidie nini,nyie wapambe wake ndio mnatakiwa muijue ili mumfundishe au mkamfasirie akionheleshwaUtafikiri we unaijua hiyo lugha.
Ndio maana una wivu.Niijue inisaidie nini,nyie wapambe wake ndio mnatakiwa muijue ili mumfundishe au mkamfasirie akionheleshwa
Mhhh ndita zipi zimekunjwa na huyo jamaa Mkuu ?? Au wewe unaona visivyo onekana ?Duh, Magu huyu bodyguard wake inaonekana kazi anaiweza haswa. Cheki alivyokunja ndita. Hivi yule mwanamama aliyekuwa katika convoy ya magufuli wakati anaanza uongozi yupo wapi.?
![]()
Hahahaahaa, mkuu huzioni mini nditass.? Anyway. The guy seems to be tough.Mhhh ndita zipi zimekunjwa na huyo jamaa Mkuu ?? Au wewe unaona visivyo onekana ?
Wivu kwa lugha ambayo Tsh 3500/= nafundishwa na Ras Simba na kuielewa!?Ndio maana una wivu.
Hahaha dah labda kama unatumia sense ya sita mkuu ,oh yeah deadly toughHahahaahaa, mkuu huzioni mini nditass.? Anyway. The guy seems to be tough.
View attachment 391109
Serikali ya Kenya imepuuza kutokuwapo kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli wakati wa mkutano wa kimataifa uliomazika hivi karibuni nchini hapa.
Hilo limetokana na kuenea kwa minong'ono na wasiwasi miongoni mwa wakenya juu ya dhamira yake ya utangamano wa kikanda.
Wakenya wengi walitarajia Rais Magufuli kama Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki na uwapo wa Japan kupitia mpango wake wa ushirikiano na maendeleo ya Africa (Ticad) angehudhuria mkutano huo.
Lakini Waziri wa mambo ya nje wa Kenya, Amina Mohamed, alipuuza madai hayo akisema Rais Magufuli alituma mwakilishi, Waziri Mkuu Kassim majaliwa.
"Si yeye pekee ambaye hakuhudhuria mkutano, kusema kweli aliwakilishwa vyema na hakuna haja ya kuhofia. Tanzania na Kenya zina uhusiano mzuri, tuache kujikita kuwa wabaya "alisema Waziri Amina Mohamed katika mahojiano kwa njia ya simu.
Tangu aingie madarakani Oktoba mwaka jana, Rais Magufuli ametembelea Uganda na Rwanda pekee.
Tofauti na mtangulizi wake Jakaya Kikwete ambaye alijulikana kwa kusafiri nje, Rais Magufuli amejikita katika masuala ya nyumbani, akimbambana na ufisadi katika utumishi wa umma.
Chanzo: Mtanzania