We chochea tu, hivi unaifahamu jela ya wanawake??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sitokaa nisahau "I don't have much to speak".
Ile Audio hadi leo nimeihifadhi sehemu salama.Siamini ... Kweli!!!! "Sina mengi ya kuongea" ...
Hata kituo cha polisi sijawahi kanyaga,nini jela?We chochea tu, hivi unaifahamu jela ya wanawake??
Kusingekuwa na haja ya kuwa na Rais basi.Waziri mkuu anatosha....
KIKWETE alihudhuria mikutano mkasema anakimbia nchi...Kusingekuwa na haja ya kuwa na Rais basi.
HaaaWakenya wajue mtukufu wetu bado ana kikao kizito na rasi simba
Unajua maana ya neno hilo nililolibold?Nakumbuka nikiwa mdogo dadayangu alikuja na watoto wake age yangu alio wapata huko ugaibuni....ilibidin nikimbie nyumban ...maana wote walikuwa wanajuwa lugha
Ataongea nini jamani hajui diplomasia wala ngeli kusoma akiandikiwa hawezi.....alinipigia broken ya mwaka pale Rwanda huwezi amini!! Yaani aibu tupu
na hapo pia alikuwa eti mkalimani wao. Walipomaliza tu hule mkutano wakawaaga wanachato bye bye na yeye akawatafsiria nunua nunua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sitokaa nisahau "I don't have much to speak".
Sijasikia vizuri, wasemaje?Wakenya wajue mpaka sasa hatujapata wakalimani.
Ninayoisemea mimi ni ile siku waliyokuja Wajapan sijui watu gani wale.na hapo pia alikuwa eti mkalimani wao. Walipomaliza tu hule mkutano wakawaaga wanachato bye bye na yeye akawatafsiria nunua nunua