Kenya: Mwehu avamia misa na kumpiga padri

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Sep 10, 2016
6,324
5,934


Mwanaume aliyechanganyikiwa akili (mwehu), amevamia kanisani wakati misa ikiendelea na kumpiga padri kisha kupora biblia.

Video ya tukio hilo imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ambapo taarifa zinaeleza kuwa limetokea Kisumu nchini Kenya katika kanisa moja la Kikatoliki.
 
View attachment 2293883

Mwanaume aliyechanganyikiwa akili (mwehu), amevamia kanisani wakati misa ikiendelea na kumpiga padri kisha kupora biblia.

Video ya tukio hilo imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ambapo taarifa zinaeleza kuwa limetokea Kisumu nchini Kenya katika kanisa moja la Kikatoliki.

Huyo ndio shetani mwenyewe kachukua sheria mkononi huyo padre achunguzwe huenda ana dhambi sana za sirini hadi shetani uvumilivu ukamshinda
 
Umenikumbusha clip moja hivi, mchekeshaji wa kizungu alikua akiwafata watu na kuwashtua, akiwafuata white hakuna noma wanacheka na kumpotezea, ee bwana ee akawafuata black aise walimkimbiza ndukiiii sizani kama alirudi
Nadhani ni yule Tairo anayesema " yesterday from east to the west " anavaa kofia la ndumila kuwili
 
Shetani ameshindwa kiroho ameamua aje kimwili. Lakini siku zake zimefika ukingoni, si mda mrefu Mwana wa Adamu atashuka na Jeshi lake, kumuadhibu.

Nitoe rai kwa walimwengu wote kujihadhari, msishirikiane na shetani msije adhibiwa pamoja naye.
 
Kuna wale mapadri wanaitwa majesuit nasikia ni wacheza ngumi na wana viwango vya juu vya mapambano na mapigano, huyo mwehu angekutana nao angerudi kwenye akili zake.
Umenikumbusha Misa moja ya Christmas bro wangu alichezea kichapo heavy kutoka kwa Padri. Ngumi zaidi 4 zilitupwa usoni kwa Bro chini sekunde 2, eneo lile tulilokuwa tumekaa lilikaa kimyaaa wakati kichapo icho kikitembea na kitendo hicho kilifanyika huku Padri akiendeleza kutamka Sala ya Bikra Maria.
 
Kwa kanisani hata kama padri angekuwa "Omos" au "Brock Lesnar" angevunga tu sababu ya kamnasi na mambo ya maandiko ya kugeuza na shavu la kushoto au ile 7×70.

Angejichanganya akaingia msikitini tena ule wa "wakata suruali", mwenyewe angefurahi.😁.
 
Umenikumbusha Misa moja ya Christmas bro wangu alichezea kichapo heavy kutoka kwa Padri. Ngumi zaidi 4 zilitupwa usoni kwa Bro chini sekunde 2, eneo lile tulilokuwa tumekaa lilikaa kimyaaa wakati kichapo icho kikitembea na kitendo hicho kilifanyika huku Padri akiendeleza kutamka Sala ya Bikra Maria.
Umeniacha njia panda, alifanya nini uyo bro?
 
Umenikumbusha clip moja hivi, mchekeshaji wa kizungu alikua akiwafata watu na kuwashtua, akiwafuata white hakuna noma wanacheka na kumpotezea, ee bwana ee akawafuata black aise walimkimbiza ndukiiii 😁😁 sizani kama alirudi
Yaan weusi tupo sensitive sana
 
Back
Top Bottom