Kenya maji ya shingo kwa mzigo wa madeni ya Serikali

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,348
Kenya inakabiliwa na hali ngumu ya kiuchumi baada ya madeni yake mengi na makubwa iliyokopa nje kwa miongo kadhaa ya karibuni kuiva kwa kasi. Inakadiriwa kila wiki Kenya inatakiwa kufanya malipo ya bilioni 50 shillingi za Kenya kwa madeni yaliova na yanaoendelea kuiva. Hizi ni pesa nyingi sana.

Hivi karibuni pia Kenya ilechelewesha sana malipo ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikali hali inayosemekana ilichangiwa pakubwa na malipo ya madeni nje ya nchi.

Wahenga wanatukumbusha "Mwenzako akinyolewa zako tia maji"
 
Kenya inakabiliwa na hali ngumu ya kiuchumi baada ya madeni yake mengi na makubwa iliyokopa nje kwa miongo kadhaa ya karibuni kuiva kwa kasi. Inakadiriwa kila wiki Kenya inatakiwa kufanya malipo ya bilioni 50 shillingi za Kenya kwa madeni yaliova na yanaoendelea kuiva. Hizi ni pesa nyingi sana.

Hivi karibuni pia Kenya ilechelewesha sana malipo ya mishahara kwa wafanyakazi wa serikali hali inayosemekana ilichangiwa pakubwa na malipo ya madeni nje ya nchi.

Wahenga wanatukumbusha "Mwenzako akinyolewa zako tia maji"
Mimi siyo mpenzi wa siasa za ccm Ila kuanzia nyerere hadi kikwete walijitaidi sana kuzuia ukopaji wa nchi ovyoo uku wakitekeleza miradi michache kulingana na ulipwaji wa kodi nchini ila awamu ya tano na wamu hii imeleta na kuzalisha madeni lukuki kwa kisingizio cha kukamilisha miradi nchini nikiwaza ule mkopo wa uviko ulivyotumika ndyo naona akili za waafrika zilivyo
 
Back
Top Bottom