Kenya kuna hiyo mnayoita Tume Huru, lakini bado...!

ttzo ni uhuru wa tume lawama ktk dunia hii huwez kuziondoa


Lakini lawama ni zile zile kama za Tume iliyokuwepo mwanzoni, sasa kuna haja gani ya kubadilisha? Kama lawama zingekuwa zimebadilila hapo ni sawa lkn Wapinzani Kenya wanalalamika kuibiwa kura na Tume ya Uchaguzi na hapo awali walilalamika pia kuibiwa kura na Tume ya Uchaguzi na wakasema sababu ni kwamba Mkuu wa Tume anateuliwa na Raisi wakabadilisha na Mkuu wa Upinzani Raila Odinga akiwa Makamu wa Raisi akashiriki kuunda Tume aliyoiita huru, uchaguzi ukafanyika akashindwa, anasema Tume imemuibia kura, sasa kwa nini aliibadilisha na kuiita huru?
 
Ukiomba mabadiliko ya katiba kwa lengo la kuingia madarakani ni dhahari uliyemwomba kwa namna yoyote uliyemwomba atahakikisha kuwa dhamira hiyo haifanikiwi, sababu wanasema kila siku hakuna mtawala anayetaka kutawaliwa, so hata kama katiba ni suluhu ya mambo mengine ambayo sio ya kisiasa mfano power za teuzi mbali mbali ambazo saiv zimeanza kuwa na mlengo wa kidini hazitatafutiwa ufumbuzi, (rejea katiba ya warioba), so to me kuwatoa viongozi madarakani hasa kwa nchi za africa sio function ya katiba wala tume. Aslong as jeshi na polis na usalama wapo na wanaridhika na mfumo uliopo kushinda kwa kura haiwezekani, labda wananchi wawe aggressive waingie barabarani. Otherwise hamna kitu. Ila kwa upande mwingine hali hii inafurahiwa sana chama tawala, ila tatizo lake ni kwamba kama wapinzani wapo na ni wengi, na hawafurahii mfumo hakuna maendeleo hapo ni kupoteza muda, yan kila kila kitu ni bora liende.
 
Back
Top Bottom