Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
Kenya also leads East and Central Africa in the number of dollar millionaires
Hiyo kaambie magu tuko 2021Source?
Juzi forbes walisema mwaka Jana alone Tz walikuwa new 5000. Millionaires?
RRONDO unakumbuka Ile thread ukasema this year uta join?
Kama list hii inauhalisia basi Kenya kuna shida..(economic gap) ni kubwa sana kati ya "the have" na "the have not".Kenya also leads East and Central Africa in the number of dollar millionairesView attachment 1875912
Nigeria ndio ina shida au Kenya. wacha kujikoroga?Kama list hii inauhalisia basi Kenya kuna shida..(economic gap) ni kubwa sana kati ya "the have" na "the have not".
Yaani Nigeria yenye watu zaidi ya Mil 120.. wawe na 9,100 na Kenya yenye watu zaidi ya mil.50 iwe nao 8k!..
Si jambo la kujivunia..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Source?
Juzi forbes walisema mwaka Jana alone
Tz walikuwa new 5000. Millionaires??
RRONDO unakumbuka Ile thread ukasema this year uta join??
Kwahio Kenya wameongeza 5000+ ndani ya mwaka huku Tanzania wamepukutika maelfu!Kenyans richer but Tanzania home to more millionaires
Dar has one individual worth more than Sh100 billion while Kenya doesn’t have a dollar-billionaire.www-standardmedia-co-ke.cdn.ampproject.org
Mimi sio mchumi, na kwa maana hiyo wangekuwa wanaonyesha jinsi wanavyopata hizi data.Kenya also leads East and Central Africa in the number of dollar millionairesView attachment 1875912
Tanzania 60million 2,000 dollar millionairesKama list hii inauhalisia basi Kenya kuna shida..(economic gap) ni kubwa sana kati ya "the have" na "the have not".
Yaani Nigeria yenye watu zaidi ya Mil 120.. wawe na 9,100 na Kenya yenye watu zaidi ya mil.50 iwe nao 8k!
Si jambo la kujivunia.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Kwahio Kenya wameongeza 5000+ ndani ya mwaka huku Tanzania wamepukutika maelfu!
Basi hapo ulipo na wewe nyang’au unajiona ni tajiri, ha ha ha. Upuuzi mtupu.Kenya also leads East and Central Africa in the number of dollar millionaires
View attachment 1875912
8,300 Kenyan Millionaires = 1 Mo Dewji
huyo muarabu uchwara8,300 Kenyan Millionaires = 1 Mo Dewji
Hayati mzee mengi.Yule mhindi, vipi na nyie Watanganyika weusi mbona hakuna hata mmoja anatajika baada ya Mengi kuondoka, Waarabu na Wahindi wamejichukulia vyote kwa mlivyo wazembe.