Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Watanzania waliambiwa na Mramba kuwa hata wakila Nyasi serikali itafanya inachotaka na wakakaa kimya. Tanzania itahitaji ccm iendelee kuwa madarakani, nchi yote iuzwe kwa wageni, vijana wakose kazi, vijijini watu wale nyasi ndio wakome kupewa vitenge na pombe na kuipigia kura ccm.
Maisha yasipokuwa magumu to the extent kuwa hakuna option watu hawawezi kuitoa ccm kama wakenya walivyofanya!
Mkuu
Watanzania wanaotuangusha hasa hasa ni wasomi, waliowengi pamoja na kujua umuhimu wa kupiga kura ni mara chache watajipanga katika mistari kupiga kura, may be KT anaweza kutwambia ni wakenya wangapi wametoka nchi mbalimbali kwenda kupiga kura na kuongeza munkari.
Tanzania hili litawezekana kama wasomi na hata JF watajitokeza hata kwenda mpaka kule Shinyanga kuhamasisha hata kushiriki kupiga kura vinginevyo Tanzania tutalalamika milele.
hivi hawa ccm wanatumia mbinu gani kuiba kura,kiasi wapinzani wameshindwa kuigundua na kupigwa bao kila uchaguzi au ni maneno ya kijitoa kimasomaso tu.
Former Makadara MP Reuben Ndolo and an aspirant for Sirisia Constituency were Friday arrested after causing chaos during the vote counting exercise.
It is alleged that Ndolo assaulted election officials at the Railway Training School in Makadara constituency, pulling down ballot boxes and a table used by the returning officer.
Ndolo was protesting the inclusion of four ballot boxes that he claimed had been tampered with and which had been brought into the counting hall unaccompanied by polling agents.
Meanwhile controversy continued to mar vote counting in Nairobi's seven constituencies disrupting the exercise.
By 6pm Friday only Langata constituency had announced its results.
Raila Odinga of ODM garnered 59 416 votes, defeating Stanley Livondo of PNU who had 23 919 votes.
In Starahe constituency the ODM candidate Margaret Wanjiru cried foul citing electoral malpractices by her rival Maina Kamanda of PNU.
In Kamukunji, Dagorreti and Kasarani constituencies the exercise was marred by heated arguments after a section of the candidates disputed the results.
In Sirisia the ODM aspirant John Welukhe Koyi tore ballot papers in anger at the inclusion of ballots from Mahonge polling station which he had disputed citing irregularities which he blamed on his rival Moses Wetangula.
Vote counting was halted indefinitely in the constituency.
Elsewhere 15 people were seriously injured following a fight between ODM and Safina party supporters in Rhamo town.
Speaking to the press El-walk District Commissioner, Michael Tialel said 25 people have been arrested in connection with the incident.
He said security personnel have been sent to the area to restore peace.
Kakindomaster,
Hapa inabidi nikupinge kidogo. Watanzania walio wengi hata wasomi wanapiga kura kwa sana tu. Mnyika alipata kura nyingi sana za wasomi wakati wa uchaguzi uliopita kabla ccm hawajafanya mizengwe yao inayowaweka bungeni watu kama huyo mbunge wa kinondoni.
Mwaka 1995 wasomi kibao walisukuma vuguvugu la uchaguzi na kuna report kuwa wapinzani walishinda viti vingi sana vya ubunge kabla ccm hawajafanya usanii wao. Tatizo la Tanzania ni ccm nawala sio wananchi. CCM inabidi itolewe madarakani ili vyama vyote vianze upya. CCM inahodhi kila kitu kuanzia serikali kuu hadi watendaji wa mitaa na imepania kufanya ufisadi milele.
Naungana na Kitila kuwa kutoa matatizo ya Tanzania ni kuungoa mti wenyewe (CCM) na sio kukata matawi ambayo yanachipua kila leo na so fara wasomi kibao wanajaribu ingawa safari inaonekana kuwa ndefu kuliko wengi tunavyotaka.
Mimi leo Ungeniambia Shea za JamboForums aka JF zinauzwa ningeuza kofia mpaka ndala ninunue kwa kuwa najua kuna mafanikio makubwa mbeleni...
JF lini kwenda kwenye soko la Hisa... nataka tuwatoe makamasi IPPMEDIA, AFRICA GROUP, SAHARA etc.. etc...
I can't wait!!!
BTW; Kilitime mtaalamu wa kutoa watu kwenye mada....
JF,
Kibaki ni jamaa yangu mda mrefu! He is really a gentleman - (Lucy yuko tofauti kidogo!)
Ni kitu gani Kibaki amewaudhi wana Kenya?
Mimi nashindwa kuelewa - je Raila ni jawabu la maisha mema kwa Wakenya? Kumbuka issue ya Chiluba Zambia na Bakili Muluzi Malawi!
We do not have a guarantee that Raila Is any better!
Ni kitu gani Kibaki amewakosea Wakenya? Kama ni Lucy mimi naomba mumsamehe tu Mzee- he is real a gentleman!
Heshima mbele JF!
Mwafrika wa kike
Nitakubaliana na wewe kwa mwaka 1995, hili kweli watanzania walikuwa na mwamko na wasomi walipiga kura na huo ndio ulikuwa mwisho wa wengi kupiga kura.
Lakini baada ya hapo wasomi wengi walikata tamaa na kujua kuwa haiwezekani wengi wanafikiria ni kupoteza muda.Ni wasomi wachache Tanzania walioko tayari kulala hata katika vituo vya kupigia kura.
Wizi ni wa hali ya juu sana lakini kilicho kikubwa CCM mara nyingi wamekuwa wakisukuma mlevi.
Assume wewe hapo ndiyo unasimamia kituo kweli kuna mtu atakuibia?
Mkuu
Watanzania wanaotuangusha hasa hasa ni wasomi, waliowengi pamoja na kujua umuhimu wa kupiga kura ni mara chache watajipanga katika mistari kupiga kura, may be KT anaweza kutwambia ni wakenya wangapi wametoka nchi mbalimbali kwenda kupiga kura na kuongeza munkari.
Tanzania hili litawezekana kama wasomi na hata JF watajitokeza hata kwenda mpaka kule Shinyanga kuhamasisha hata kushiriki kupiga kura vinginevyo Tanzania tutalalamika milele.
JF,
Kibaki ni jamaa yangu mda mrefu! He is really a gentleman - (Lucy yuko tofauti kidogo!)
Ni kitu gani Kibaki amewaudhi wana Kenya?
Mimi nashindwa kuelewa - je Raila ni jawabu la maisha mema kwa Wakenya? Kumbuka issue ya Chiluba Zambia na Bakili Muluzi Malawi!
We do not have a guarantee that Raila Is any better!
Ni kitu gani Kibaki amewakosea Wakenya? Kama ni Lucy mimi naomba mumsamehe tu Mzee- he is real a gentleman!
Heshima mbele JF!