Afadhali wameshinda na sasa watumie bunge kumnyanyasa Kibaki. Rito ana nguvu kweli kwenye kuongea, ni zaidi kabisa ya Odinga.
Nimesikia redioni walivyojibizana mwanzoni, looh! naona kulikuwa na kazi kweli kweli.
Sasa hata kamati wachukue zote, hakuna kuachiana tena.