Now time again to show that even in Africa there can be civilisation and civilised way of solving poltical problems.
Uchaguzi huu ulikuwa closely contested na yeyote kati ya hawa wawili alikuwa anatarajiwa kushinda. Hakuna shaka huyu bwana ameiba kura ili apate ushindi. Pamoja na machungu waliyo nayo ODM wakiongozwa na jemadari wao Raila (kama ambavyo sisi hapo tulivyo), nafikiri ni muhimu sasa wakae haraka baada ya matokeo haya kutangazwa na kuona the right course. The first course should be to try with all their efforts, as they did in luring the support they got, to cool down the people's anger. Kuingia mtaani liwe ni jambo la mwisho. Watumie options za mezani kwanza kwa kuanzia na mahakana, na madamu wana the majority bungeni wajipange huko na wana nafasi ya kufanya vizuri sana katika kurekebisha mfumo uliosababisha waibiwe kura. Inawezekana Raila asipate nafasi tena ya kuwa Rais wa Kenya, lakini ana nafasi kubwa, kupitia wabunge wake huko bungeni, ya kuitengeneza Kenya ikawa the best model of democracy in Africa.
Mhe Zitto, mimi nafikiri kama unaweza ukatumia ushawishi wako kwa hawa ndugu zetu wa ODM wakaweza kuwatuliza wafuasi wao na wao kupanga mashambulizi ya kiakili upya badala kuingiza watu barabarani litakuwa jambo la maana sana.