Joss
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 765
- 191
Hii ya kupeleka ndege zote hizo na chopa zote hizo,bado vifaru vingi hivyo si tu kwaajili ya Al-shabab, bali ni nafasi ya kenya kushow off power, kuonesha kuwa jeshi lake lina vifaa na nguvu, ni njia ya kutuma ujumbe kwa nchi zingine jirani hususani Uganda ambapo kuna mgogoro baridi wa kisiwa....
Hivi tanzania tuna vifaa vya kisasa kweli..? ooh no nimekumbuka hata mabomu tu hatujaupdate yamesha expire yanatulipukia wenyewe, wakati huo Shimbo anakula mitrilioni tu.
Hivi tanzania tuna vifaa vya kisasa kweli..? ooh no nimekumbuka hata mabomu tu hatujaupdate yamesha expire yanatulipukia wenyewe, wakati huo Shimbo anakula mitrilioni tu.