Kenya declares war on Al Shabaab!

Hii ya kupeleka ndege zote hizo na chopa zote hizo,bado vifaru vingi hivyo si tu kwaajili ya Al-shabab, bali ni nafasi ya kenya kushow off power, kuonesha kuwa jeshi lake lina vifaa na nguvu, ni njia ya kutuma ujumbe kwa nchi zingine jirani hususani Uganda ambapo kuna mgogoro baridi wa kisiwa....

Hivi tanzania tuna vifaa vya kisasa kweli..? ooh no nimekumbuka hata mabomu tu hatujaupdate yamesha expire yanatulipukia wenyewe, wakati huo Shimbo anakula mitrilioni tu.
 
the Kenyan situation is totally different from Pakistan and it will be idiotic for anyone to think that we are fighting alshabaab for money,your post is very disappointing when peoples lives have been lost because of this terror group.When Museveni threatened to pursue alshabaab inside Somalia after they had attacked his country,was he eying American money.......the defense and internal security ministers gave concrete reasons why we decided to put down diplomacy and act,to protect our economy and for the security of our people.......continue to wish us evil....or you r just ****** who cannot think!!!!! i pity you.......it might be your friend or relative or even you who will be affected when they will attack Tanzania.....Alshabaab is not only a Kenyan problem but an East African,if you are in business..you will understand how the problem of piracy along our coastlines is costing the whole region alot.Istead of wishing for a negative outcome you should be cushioning yourselves against this group or even send your troops along the coastline to finish them once and for all......next time think before you write anything....
here is the evidence u r eyeing a Pakistan status in Africa! listen to Prof. Saitoti and u will realize he is bullying the West to cough funds to contain Al Shabaab using hosting refugees from Somalia as an excuse! Hosting refugees is a duty of every country in this World as long as u r a chattered member of the UN!


 
Last edited by a moderator:
Hivi vita vinawezekana pia kuwa ni mpango wa serikali ya Kibaki kupata fursa ya kuahirisha uchaguzi mwaka ujao!
 
Hivi vita vinawezekana pia kuwa ni mpango wa serikali ya Kibaki kupata fursa ya kuahirisha uchaguzi mwaka ujao!

Finally you are going to say Kenya wants to invade Somalia in order to control the lucrative piracy business and untapped massive oil reserves in Somalia
 
Finally you are going to say Kenya wants to invade Somalia in order to control the lucrative piracy business and untapped massive oil reserves in Somalia
Hold on now, speak for yourself. I hereby invoke the idiom 'don't put words into my mouth'!
 
Matatizo mengine ni ya kujitakia tu, hata kama hao wazungu wametekwa hivi wakenya wenyewe hawawezi kuwateka hao wazungu mpaka wawasingizie al shabaab? Nairobi na ujambazi ule wote jamani. Mtu unashuka airport jamaa anakushikia mfuko wa kinyesi live anataka fedha ukikataa anakobonda na kinyesi, jamani wale ni alshaabab???

Ningeshawishika kama alshaabab wangelipua kenya na ku kukubali kutekekeleza tendo hilo. Haya mengine matatizo ni ya kujitakia jamani, watu kenya wanakufa na njaa harafu nyie mnatumia mifedha mingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Aiss Waafrika tutaacha ujinga lini?
 
tafadhali toa evidence eti Kenya imenunuliwa na merekani? alshabab imehatarisha maisha sio tu ya wakenya bali wana afrika mashariki wote,unakumbuka walishambuluia Uganda na hatuwezi assume eti Tanzania iko safe ,more concerned about the way the govt was addressing the issue of protecting our territorial boundaries.....they had tokumbuka shambulio la mwaka wa '98 DAR na NRB. the whole tourism industry is at stake and Kenyans were becoming act, the days of diplomacy are over and at least the Army men must now work ,we pay them too much!!
Nenda zako!.Mpaka leo unaamini kwamba hayo mashambulio yalifanywa na marehemu sheikh Osama.Hujajua tu kwamba ni vitimbi vya Amerika ambayo haina huruma na hata raia wake inapotaka sababu ya kuingia vitani.
Halafu nikuulize hivi bibi wa kitalii ni bora sana kuliko maisha ya wakenya wa kawaida?.Mbona hamukuingia vitani wakati askari wa Ethiopia walipovuka mpaka na kuingia Kenya wakaua watu kadhaa.Papo hapo inakuwa na maana kuingia vitani kutafuta watalii.Hizi zote ni sababu za uongo kuhusiana na nia ya kuingia nchi ya kiislamu ya Somalia.
Ingekuwa utalii ni kitu cha maana basi wakenya wangekuwa na nafuu kimaisha kuliko wenzao wa nchi za jirani.Ukweli wakenya ndio maskini zaidi na wanaishi maisha machafu huwezi kuamini.Uchumi wa Kenya sijui nani anayedhibiti au tuseme watalii huja nao na kuondoka nao.
 
Nenda zako!.Mpaka leo unaamini kwamba hayo mashambulio yalifanywa na marehemu sheikh Osama.Hujajua tu kwamba ni vitimbi vya Amerika ambayo haina huruma na hata raia wake inapotaka sababu ya kuingia vitani.
Halafu nikuulize hivi bibi wa kitalii ni bora sana kuliko maisha ya wakenya wa kawaida?.Mbona hamukuingia vitani wakati askari wa Ethiopia walipovuka mpaka na kuingia Kenya wakaua watu kadhaa.Papo hapo inakuwa na maana kuingia vitani kutafuta watalii.Hizi zote ni sababu za uongo kuhusiana na nia ya kuingia nchi ya kiislamu ya Somalia.
Ingekuwa utalii ni kitu cha maana basi wakenya wangekuwa na nafuu kimaisha kuliko wenzao wa nchi za jirani.Ukweli wakenya ndio maskini zaidi na wanaishi maisha machafu huwezi kuamini.Uchumi wa Kenya sijui nani anayedhibiti au tuseme watalii huja nao na kuondoka nao.

ahamedinajad ndie aliyelipua balozi za NBO na DAR.
Big up Kibaki, chinja, twanga ua na sagasaga waria wote msijali ni Al Shabibi ama nani atakaesogea mbele amevaa msuli fyeka risasi mwisho Al Shabibi watatimkia bongo
 
Nawapa hongera sana wakenya kwa kuamua kuwapiga al-shaabab-
alshabaab wasipotulizwa watafanya east africa kuwa kama middle east.hawa wanatakiwa wapotezwe kabisa
 
Nenda zako!.Mpaka leo unaamini kwamba hayo mashambulio yalifanywa na marehemu sheikh Osama.Hujajua tu kwamba ni vitimbi vya Amerika ambayo haina huruma na hata raia wake inapotaka sababu ya kuingia vitani.
Halafu nikuulize hivi bibi wa kitalii ni bora sana kuliko maisha ya wakenya wa kawaida?.Mbona hamukuingia vitani wakati askari wa Ethiopia walipovuka mpaka na kuingia Kenya wakaua watu kadhaa.Papo hapo inakuwa na maana kuingia vitani kutafuta watalii.Hizi zote ni sababu za uongo kuhusiana na nia ya kuingia nchi ya kiislamu ya Somalia.
Ingekuwa utalii ni kitu cha maana basi wakenya wangekuwa na nafuu kimaisha kuliko wenzao wa nchi za jirani.Ukweli wakenya ndio maskini zaidi na wanaishi maisha machafu huwezi kuamini.Uchumi wa Kenya sijui nani anayedhibiti au tuseme watalii huja nao na kuondoka nao.
sijajua kama alikuwa shekhe huyu mr-may be kwa kuwa sijui qualities za kumfanya mtu awe shekhe
Ami umekuwa mtu wa kulalamika kuhusu nchi za kiislamu tu,kuwa zinaonewa-mbona husemi lolote juu ya USA kupeleka wanajeshi kumsaka Konyi ambaye ni mkristo?
 
sijajua kama alikuwa shekhe huyu mr-may be kwa kuwa sijui qualities za kumfanya mtu awe shekhe
Ami umekuwa mtu wa kulalamika kuhusu nchi za kiislamu tu,kuwa zinaonewa-mbona husemi lolote juu ya USA kupeleka wanajeshi kumsaka Konyi ambaye ni mkristo?
mkuu kumbuka kuna mashehe na mashehena zama hizi.
 
sijajua kama alikuwa shekhe huyu mr-may be kwa kuwa sijui qualities za kumfanya mtu awe shekhe
Ami umekuwa mtu wa kulalamika kuhusu nchi za kiislamu tu,kuwa zinaonewa-mbona husemi lolote juu ya USA kupeleka wanajeshi kumsaka Konyi ambaye ni mkristo?
Tayari nimesema lakini wewe hujaona.Marekani ina adui mmoja mkuu katika nia yake ya kutawala ulimwengu naye ni uislamu baada ya kufa ukomunist.Ukisikia anatafutwa Kony ni ili kusafisha njia ya kuchimba mafuta.Uislamu pekee ndio wenye mafunzo ya kupinga ubeberu wa kimarekani.
 
mkuu kumbuka kuna mashehe na mashehena zama hizi.
Osama alikuwa shehe na Alshabaab vile vile ina mashehe.Hawa mashehena ndio wenzenu munaokunywa nao wanzuki na kibuku,Nyinyi ndio munaowajuwa zaidi na sisi hatuna shida nao.
 
Tayari nimesema lakini wewe hujaona.Marekani ina adui mmoja mkuu katika nia yake ya kutawala ulimwengu naye ni uislamu baada ya kufa ukomunist.Ukisikia anatafutwa Kony ni ili kusafisha njia ya kuchimba mafuta.Uislamu pekee ndio wenye mafunzo ya kupinga ubeberu wa kimarekani.

Kwa hiyo una maana Al Shabibi waachiwe tuu na kuendeleza ujangili wao kwa kuwa kuwashikisha adabu ni kumaanisha kuupinga uislamu?
 
Osama alikuwa shehe na Alshabaab vile vile ina mashehe.Hawa mashehena ndio wenzenu munaokunywa nao wanzuki na kibuku,Nyinyi ndio munaowajuwa zaidi na sisi hatuna shida nao.

Kama Al shabibi na Osama ni mashehe na wanakubalika ktk uislamu basi kuna maswali mengi sana unatuachia ktk dini hii. Sidhani kama muislamu ambaye yuko fair minded atawafagilia majangili ya Al Shabibi
Aisifiae mvua imemnyeshea....may be wewe ndie mlevi wa wanzuki na chibuku
 
Tayari nimesema lakini wewe hujaona.Marekani ina adui mmoja mkuu katika nia yake ya kutawala ulimwengu naye ni uislamu baada ya kufa ukomunist.Ukisikia anatafutwa Kony ni ili kusafisha njia ya kuchimba mafuta.Uislamu pekee ndio wenye mafunzo ya kupinga ubeberu wa kimarekani.
nimekuelewa"
 
Kama Al shabibi na Osama ni mashehe na wanakubalika ktk uislamu basi kuna maswali mengi sana unatuachia ktk dini hii. Sidhani kama muislamu ambaye yuko fair minded atawafagilia majangili ya Al Shabibi
Uliza maswali yako tutajaribu kuyajibu.
 
Bila clear and unshakeable intelligence, soldiers' high IQ, morale and will to fight and win the war Kenya wanapoteza muda na other resources. Matanka yote hayo ya nini wakati unaenda kupambana na mtu anayetumia AK-47!!!!!!

kwni AK-47 ni ghali sana? Mbona hata quality yake haijafikia Uzi? Wewe kweli hujui silaha kabisa
 
Back
Top Bottom