Kenya Airways says not selling its Precision stake

Mkuu Massaiboi
Tafadhali acha inferiority complex zako .. Kwa taarifa yako humu jamvini (JF) kuna wabongo wengi tu wanaofanya kazi kwenye Stock Exchanges na wala sio hiyo ya NSE au DSE...:pound: kwa hiyo elewa kuwa hatuna nia ya kufundishwa jinsi ya kuuza HISA, hapa tunajadili UCHUMI!

Tunataka kufahamu kiini cha contradictions kati ya maelezo ya Mzee Shirima (tafuta linki ya hiyo article utaona) na yale bw. Naikumi. Tumegundua kuwa KQ wanataka kuendelea kuitawala PW(Strategically) ili isiwe na nguvu ya kujiamulia mambo kwa mfano kuanza route za mbali ambazo ndio profitable kwao kama Jorbug, Harare, kinshasa nakadhalika.

Ni wazi kuwa PW wakianza route za mbali wata-cannibalize huduma ambazo tayari zinatolewa na KQ kwa msaada wa KQ (wao kama shareholders) na kuna hatari KQ wataanza kupata hasara katika hizo routes kutokana na ushindani wa PW (i.e., huduma bora na efficiency) ndio maana huko nyuma kuna posti ilisema KQ sasa hivi wanajikuta katika situation ijulikanayo Kiuchumi kama Prisoner's Dilemma

Mkuu pia nakuomba upunguze Jazba, halafu ombi lako la-kufunga hii thread sidhani kama wakuu wengi wataafikiana na wewe!, thread hii itakufa kwa natural death kama nyingine zilizopita na ikiwezekana hapo mbeleni ita-ressurect kiNazareti....
 
Tanzanian can still own 51% of the issued share capital just by restricting all shares to be sold through IPO to Tanzanian only. CRDB did that and it was successful. You dont need to have one person owning 51% to justify that the company is owned by Tanzania. The problem which might happen if they dont restrict who qualify to buy those shares, KA can also participate in buying and become majority shareholder
Exactly! that's what i fear! never trust those jamaas they r good at conning! ask Kibo Breweries original owners to tell ya how they were dumped after EA Brew went into a partnership with SABMiller that just collapsed recently! There r some people think PW can not go alone without KQ! I have a different opinion on that! By the way what are the laws saying on aviation industry? i know in telecommunication 35% should belong to a Tanzanian! Kenyans ideologies see TZ as a market and not a partner to them! So you better watch out!
 
kwani kama precision airways wange step into the shoes of KA, wangeuza? halafu wadominate vipi kwenye biashara ya usafirishaji wa anga east africa na africa? can you finance your competitor? .....hili wala si la kustuka...
 
Mkuu Massaiboi
Tafadhali acha inferiority complex zako .. Kwa taarifa yako humu jamvini (JF) kuna wabongo wengi tu wanaofanya kazi kwenye Stock Exchanges na wala sio hiyo ya NSE au DSE...:pound: kwa hiyo elewa kuwa hatuna nia ya kufundishwa jinsi ya kuuza HISA, hapa tunajadili UCHUMI!

Tunataka kufahamu kiini cha contradictions kati ya maelezo ya Mzee Shirima (tafuta linki ya hiyo article utaona) na yale bw. Naikumi. Tumegundua kuwa KQ wanataka kuendelea kuitawala PW(Strategically) ili isiwe na nguvu ya kujiamulia mambo kwa mfano kuanza route za mbali ambazo ndio profitable kwao kama Jorbug, Harare, kinshasa nakadhalika.

Ni wazi kuwa PW wakianza route za mbali wata-cannibalize huduma ambazo tayari zinatolewa na KQ kwa msaada wa KQ (wao kama shareholders) na kuna hatari KQ wataanza kupata hasara katika hizo routes kutokana na ushindani wa PW (i.e., huduma bora na efficiency) ndio maana huko nyuma kuna posti ilisema KQ sasa hivi wanajikuta katika situation ijulikanayo Kiuchumi kama Prisoner's Dilemma

Mkuu pia nakuomba upunguze Jazba, halafu ombi lako la-kufunga hii thread sidhani kama wakuu wengi wataafikiana na wewe!, thread hii itakufa kwa natural death kama nyingine zilizopita na ikiwezekana hapo mbeleni ita-ressurect kiNazareti....


Well said!
 
Ndio KA''s move was purely strategic! what's your problem?jamani! hebu tuache kuchanganya changanya mambo hovyo hovyo.
kama wewe ni mfanyabiashara mwenye busara kila siku utakua unafikiria jinsi ya kumshinda adui wako,watu wengine hadi wanaroga.kisa KA si ya tanzania basi watu mnaponda,kwanza huyo kampuni yenu?.......angalieni liATCL lenu liko wapi.....:A S cry:
 
Back
Top Bottom