Kenge, Mbwa, Kima, Mbuzi

Kenge, Mbwa, Kima, Mbuzi

Hivi hawa wanyama wamewakosea nini binadamu kunasibishwa nao? Kwa nini isiwe tembo, simba au twiga? Watu wakiwa na makasiriko huita wenzao majina hayo kwa nini?
1748524646397.jpg
wakigombea mwendokasi leo
 
inawezekana wakawa na changamoto ya kiroho, lakini ili hoja hii iwe na nguvu ni lazima tufahamu na kwenye jamii zisizokuwa za kiswahili je wanatumia wanyama haohao kutukana? kama jamii zisizo za kiswahili hazitatosha je jamii za nje ya Afrika wanafanya hivyo?
Wazungu wanatumia zaidi bitch (umbwa jike changudoa)
 
Hivi hawa wanyama wamewakosea nini binadamu kunasibishwa nao? Kwa nini isiwe tembo, simba au twiga? Watu wakiwa na makasiriko huita wenzao majina hayo kwa nini?
Wanakumbukwa zaidi kwa sababu tofauti,mbuzi kitoweo cha muda wote,Mbwa zake kelele kibwekabweka,kima yeye msumbufu akijidai janjanjanja,kenge mwenzangu na mie jeuri hata ubongo ukitoka nje ya fuvu bila kuona damu ikimwagika haelewi somo.Hivyo kawaida viumbe wa hivi lazima watukae midomoni.
 
Back
Top Bottom