ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
mtaalamu wa keki aliambiwa atengeneze keki ya harusi kisha aandike 1YOHANA 4:18, lakini akasahau kidogo akaandika YOHANA 4:18
badala ya kuandika 1YOHANA 4:18 inayosema "katika pendo hamna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa maana hofu ina adhabu".
Yeye akaandika YOHANA 4:18 isemayo "kwa maana umekuwa na wanaume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako".
Balaa likaanzia hapo....!!!
badala ya kuandika 1YOHANA 4:18 inayosema "katika pendo hamna hofu, lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa maana hofu ina adhabu".
Yeye akaandika YOHANA 4:18 isemayo "kwa maana umekuwa na wanaume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako".
Balaa likaanzia hapo....!!!