Sasa faida ya mwamvuli ni nini hapo, maana already wanaogelea humo humo
sasa na hawa wajahidix wanapiga picha ili iweje? wakati hawatojitambua?
Majuha! Wangekuwa weshalitoa gari kama wangesukuma kwa mikono miwili!
sasa apo anapiga nini sasa...ovyoooooo