Keep waiting , Barua ishaandaliwa

Nadhani ni kuachiwa kwa mwenyekiti wa wale jamaa.

Hata hivyo ikiwa hivyo litakuwa jambo jema Sana na baada ya kuachiwa ni vema mambo mengine yafanyike wanguwangu Sana maana ni kama taifa limesimama sana hakuna kinachoendelea cha maana nchini ni Bora michakato ya katiba na time huru ya uchaguzi zifanyike ili kufikia 2030 ufanyike uchaguzi wapatikane viongozi watakaolipeleka taifa mbele.
 
Kuachiwa kwa mwenyekiti hakuhitaji barua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…