Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 2,710
- 8,422
Niko pamoja na wewe Mkuu.Mimi barua zenu sizijui zaidi ya Commonwealth.
Ninachojua zimebaki siku 8 lissu aachiwe.
Asanteni sana wazungu
DJ waleteeee... Yuda dugu avter nyuniTiyari huko
Kuna code hapo?!Fungua code
Mkuu Kwa heshima na taadhima tunakuombea uongeze nyama kidogo,sisi wengine umri umekwenda na tuna presha.Tiyari huko
Hata mimi nilidhani KITAMBI cha Shybush na Madilu system kinawalambaNikafikiri Barua ya kutengua uteuzi wa...
Kuna mjukuu nimemuomba anipe abc maana huu uzee wetu kuanza kufikiri ni kupandisha sukari tuMkuu Kwa heshima na taadhima tunakuombea uongeze nyama kidogo,sisi wengine umri umekwenda na tuna presha.
Kutumia akili nyingi ni changamoto kwetu.
Kuachiwa kwa mwenyekiti hakuhitaji baruaNadhani ni kuachiwa kwa mwenyekiti wa wale jamaa.
Hata hivyo ikiwa hivyo litakuwa jambo jema Sana na baada ya kuachiwa ni vema mambo mengine yafanyike wanguwangu Sana maana ni kama taifa limesimama sana hakuna kinachoendelea cha maana nchini ni Bora michakato ya katiba na time huru ya uchaguzi zifanyike ili kufikia 2030 ufanyike uchaguzi wapatikane viongozi watakaolipeleka taifa mbele.
Mzee wa jikoni!.... tukiona moshi kama hivi...tunaelewa vimekaribia kuiva!Tiyari huko
The pandora box is almost unleashed.Tiyari huko
Huenda barua imekaa kama code mkuuKuachiwa kwa mwenyekiti hakuhitaji barua
ICC au YudaTiyari huko