meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
mwenyekiti wa bodi ya usamamizi wa hospitali ya rufaa KCMC Dr alex malasusa amekiri hospitali hiyo kuathiriwa na mgomo wa madaktari.
Huduma kwa wagonjwa hasa wale wa nje imeathirika zaidi na hili limesababishwa na ukosefu wa madaktari interns ambao serikali imewafutia usajili.hizi ndio athari za liwalo na liwe!
KCMC ina madaktari bingwa 45 ambao wamekiri kushindwa mzigo mkubwa wa wagonjwa.
Huduma kwa wagonjwa hasa wale wa nje imeathirika zaidi na hili limesababishwa na ukosefu wa madaktari interns ambao serikali imewafutia usajili.hizi ndio athari za liwalo na liwe!
KCMC ina madaktari bingwa 45 ambao wamekiri kushindwa mzigo mkubwa wa wagonjwa.