KCMC na logo ya nyoka!

.

Unasemaje kuhusu nembo ya mwezi mwekundu na msalaba mwekundu zinazotumiwa na mashirika ya misaada wakati wa majanga? Kumbuka mwezi ni alama ya Uislamu na Msalaba ni alama ya wakristo. Je, wakati wa majanga Waislamu wasipokee misaada ya mashirika ya alama ya Msalaba na wakristo wakatae kupakea msaada wa mashirika ya mwezi mwekundu? Gongo la mboto walikuwepo msalaba mwekundu na hawakutoa msaada kwa malengo ya kidini na kwa kweli haya mashirika sio ya kidini pamoja na kwamba yanatumia nembo hizo. mashirika haya yameokoa watu wa dini zote na wasio na dini wakati wa majanga.
 
Numbers 21 :4-9 "
4And they journeyed from mount Hor by the way of the Red sea, to compass the land of Edom: and the soul of the people was much discouraged because of the way. 5And the people spake against God, and against Moses, Wherefore have ye brought us up out of Egypt to die in the wilderness? for there is no bread, neither is there any water; and our soul loatheth this light bread.
6And the LORD sent fiery serpents among the people, and they bit the people; and much people of Israel died.
7Therefore the people came to Moses, and said, We have sinned, for we have spoken against the LORD, and against thee; pray unto the LORD, that he take away the serpents from us. And Moses prayed for the people.
8And the LORD said unto Moses, Make thee a fiery serpent, and set it upon a pole: and it shall come to pass, that every one that is bitten, when he looketh upon it, shall live.
9And Moses made a serpent of brass, and put it upon a pole, and it came to pass, that if a serpent had bitten any man, when he beheld the serpent of brass, he lived."


Now depending on your personal interpretation of the above verses , you can easily attach the meaning (i.e. the symbol is GODLY OR SATANIC )
 
Huyu hakwenda kutibiwa, alikuwa na lake jambo, kitaalamu watu wa aina hii tunawaita 'ghost-clients', na ni mrongo sana huyu.
Nimepeleka wagonjwa wengi sn pale kcmc sijakutana na complications za dini!
Hasidi hana sababu.
Licha ya hoja zake kuwa UDINI lakini thread yake inamuonyesha kiwango chake cha elimu.
Nashangaa wanaowasaidia watu kama hawa ambao waliishia darasa la saba au pengine hata hawakufika darasa la saba.

JF sio sehemu yakuwafundisha waliokimbia shule.
Tena afadhali angeipost kwenye jukwaa la elimu wangempa elimu ya ngumbaru.
 
.

thanks, wachina wanakula sana nyoka na nyama yake ni ghari sana .....huko uchina.... wanakula watu wenye kipato kizuri. Utasema wachina wanakula shetani?
 
nyoka huyo yupo kwenye logo ya shrika la afya ulimwenguni WHO
 
Kuna threads na maswali mengine yakitolewa hapa JF ukiyaona umeshamjua muanzishaji kiwango chake cha elimu.

viwango vya elimu haviwezi kuwa sawa. Vidole vyenyewe havifanani.
Kikubwa hapa ni kueleweshana na sio kujaji viwango vya elimu.
 
kweli freemasons wananguvu....yaani wanashawishi watu waamini wasicho amini.....inamaaana hakuna alama nyingine nzuri tu
Tumuombe Mwenyezi Mungu atusaidie maana mtu ukimchunguza sana haya mambo unaweza hata chakula usile cha msingi mtu ukiumwa nenda ukatibiwe tu ukipona toa shukran zako kwa Mungu wako. Hayo mengine anayajua yeye mueza.
 
Kuna threads na maswali mengine yakitolewa hapa JF ukiyaona umeshamjua muanzishaji kiwango chake cha elimu.
.

Lakini pia jinsi dini yake inavyomfikisha kwenye hitimisho ya mambo hapa duniani.
 
hili wala halihitaji biblia wala msahafu

Alama ya nyoka ipo kwenye treatment facility yoyote duniani na kuna maana inayounganishwa na venom
 
Hata kama alama ya nyoka ingekuwa ya dini ya kikiristo sidhani kama kuna tatizo endapo kwa dini hiyo ina maana yao. KCMC sio ya serikali ni kama vile unakwenda kutibiwa katika hosptali ya BAKWATA kisha unakutana na alama za lugha ya kiarabu au Muuguzi kavaa baibui na hijabu kisha unalalamika kwamba hospitali ina nembo ya kidini au kutoa maana nyingine kwa mavazi hayo..
 
Hii tumeelezwa hapo juu kwamba ni alama yenye asili ya ugiriki iliyokuwa inatumiwa na wanajimu katika sayansi ya tiba. Lakini pia imehusishwa na minyoo iliyokuwa inavutwa kwa kijiti mithili ya nyoka aliyezungushwa kwenye kijiti. Haiwezi kuwa na asili ya biblia moja kwa moja kwa sababu katika biblia nyoka ana maana nyingi, ikiwemo shetani aliyemdanganya Adam kula tunda alilokatazwa na Mungu.
 
Ninapokuwa na shida ya kitabibu, ninaenda hospitali kupata huduma, ninalalamika pale huduma ninayopata inakinzana na tatizo langu linalonisumbua. Haya mambo mengine ni kutaka kuonyesha u..ga mbele ya wengine.

Nashukuru kwa wote mliotoa ufafanuzi kuhusu mada hii, wengine mmeichukulia kuwa ya kipuuzi lakini ni wanaopuuzia mambo ndio wanaotuweka hapa mjini, haijalishi ni kwa namna gani

Huyu hakwenda kutibiwa, alikuwa na lake jambo, kitaalamu watu wa aina hii tunawaita 'ghost-clients', na ni mrongo sana huyu.
Nimepeleka wagonjwa wengi sn pale kcmc sijakutana na complications za dini!
Hasidi hana sababu.
 
Sasa logo inahusu nini...? I dont know when we will stop all this superstition!
 
Nyoka ni ishara ya tiba, karibu kila nchi inatumia nyoka kama symbol ya uponyaji.
Hii ni nembo ya wajerumani maduka ya madawa....

 
Natamani kukuchapa viboko 12 siku ulipoingia JF na vingine 12 siku unayoondoka JF
 

. Unajua watanzania hatupendani ndo mana walikwishapata wanabaki tuchonganisha na serikali yetu....mleta mada kataka kueleweshwa nashangaa nyie badala ya kumwelewesha nasi tukaelewa kupitia yeye mnaleta kujua kwingi.....sasa wewe unataka kutwambia alama ya nyoka ni ishara ya dini ya ukiristo kama unavyodai kuhusu hizo ijabu kuwa ni utambulisho wa dini ya kiislam?
 
Cheki na biblia kwanza uone maana ya hiyo picha. Muhimbili hospital napo nembo yake ina nyoka (jaribu ku-confirm)[/QUOT
HUYO SIO NYOKA NI MNYAMA FULANI HIVI ANATUMIKA KTK NEMBO ZA KITABIBU.NILIWAHI KUSOMA MAHALI NIMESAHAU TU MAANA.
 
Ni nyoka sawasawa na yule nyoka aliyeinuliwa jangwani wakati wana wa Israeli walipokuwa wanasafiri kutoka Misri kuelekea Kanaani nchi ya ahadi. Kumbukeni hospitali zilianziashwa na walokole. Nenda kwenye google: early doctors and nurses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…