nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,251
- 1,735
Umejuaje mishahara ya wenzako? Walikwambia au wew ni mhasibu unaandaa payrall?
Sio roho mbaya mkuu ww ndio una roho mbaya unawaza mshahara wa mwenzioWatu wa jf mna roho mbaya sana!!
Yale yale ya Fei Toto na Aziz Kii!! Ridhika na unachokipata mjomba. Na kama unaona mambo hayaendi kama vile unavyopenda, tafuta mahali pengine ambako utalipwa mshahara unaoutaka wewe.Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.
Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.
Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
I can feel ur pain bro umesema wa kwanza alikuzidi 800k ukavunga ukaona yote kheri akaja wa pili nae kakupiga gap na 950k almost 1m dooh! Afu kazi wew ndo wa kutegemewa yan kama mzamiru vile af saidoo anakunja parefuoya ww sio nyani nenda kamwambie hvyo Hr
Unaijua ile ngoma ya diamond na Tanasha inaitwa "Wanaona gere"😅Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.
Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.
Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
Yaani hadi kwenye fake ID tuwe na roho nzuri...?? hapa ni spana tuWatu wa jf mna roho mbaya sana!!
Hapo lazima aende kwenye kisomo kwa yule Ustadhi wa Mbezi MwishoHaya matatizo yanaletwa na watu wanao husika na mshahara kutokuwa wa siri! Mshahara wa mtu ni siri ya mtu aya mambo ndo yataleta uchawi apo
Chukua ushauri wetu achana na roho zetu Mkuu.Watu wa jf mna roho mbaya sana!!
Kama unalipwa kile mlichopatana na kukubaliana na waajiri wako basi tulia tu wacha uchawi wa kumchawia mwenzako.Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.
Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.
Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?