Kazini imekuwa ngumu kwangu msaada

Kazini imekuwa ngumu kwangu msaada

Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.
Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine,changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa. Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
Fanya kazi zako, muache na kazi zake, kila mmoja atetee ugali wake, pia usitazame wanalipwa shingapi maana siku hizi mshahara ni kuupambania wakati wa interview, so angalia maisha yako na achana na maisha ya wengine Kisha usonge mbele
 
Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.

Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.

Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
1.wewe ni mwongo
2.una roho ya uchawi
3.unapenda kuchunguza mambo ya watu
4.una wivu mbaya
5.huridhiki na unachopata
6.hakuna gap kubwa la mshahara kwa kitengo kimoja na elimu sawa kiasi cha kuzidiana gap la laki tisa na elfu hamsini
7.wanakuona wewe una mawenge na huna msaada kwao, tafuta kazi yakufanya.
 
1.wewe ni mwongo
2.una roho ya uchawi
3.unapenda kuchunguza mambo ya watu
4.una wivu mbaya
5.huridhiki na unachopata
6.hakuna gap kubwa la mshahara kwa kitengo kimoja na elimu sawa kiasi cha kuzidiana gap la laki tisa na elfu hamsini
7.wanakuona wewe una mawenge na huna msaada kwao, tafuta kazi yakufanya.

Sishangai ilo Jina unalojiita
 
1.wewe ni mwongo
2.una roho ya uchawi
3.unapenda kuchunguza mambo ya watu
4.una wivu mbaya
5.huridhiki na unachopata
6.hakuna gap kubwa la mshahara kwa kitengo kimoja na elimu sawa kiasi cha kuzidiana gap la laki tisa na elfu hamsini
7.wanakuona wewe una mawenge na huna msaada kwao, tafuta kazi yakufanya.

Kwa point yako namba sita inaonesha hata unachocomment hukijui
 
Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.

Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.

Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
Tuanzie hapa kwanza, mshahara ni Siri ya mtu, na, uongozi wa, kampuni, we uliujuaje mshahara wake?
Pili bro, swala LA mshahara kila mtu ana bargain kwa uwezo wake, unaweza, wewe ukawa unafanya kazi zote, lakini elimu,diploma, anaajiliwa mwenye degree, kutoka chuoni,hata kama bado fresher, elimu yake inambeba.
 
Majitu ya hivi kazini yanakuwaga na roho mbaya sana , huo mshahara wake ww unakuhusu nini? Akipunguziwa mshahara utapata faida gani?


Je, ungekuwa serikalini ingekuwaje mnakaa staff moja utakuja mwenzio ana 2milion afu mwingine una laki nne kisa tu kakutangulia kazi yeye kapanda daraja na ukija kwenye kazi ww ndo unapiga kazi haswa
Hahahaha unakuja ajira mpya unakuta senior wako ndo mfawidhi anakaribia kuzeeka mkienda site anakaa tu ashachoka kazi zote unapiga wewe ila kibusara lazima uangalie pia ni mzee hivyo kuzeeka nguvu zinapungua....ila yako ambayo utavuna kwake mfano uandishi wa report,nyaraka na namna ya kutafuta michoro....mshahara wake hupaswi kuuwaza
 
Unaonekana kabisa hutaki kufanya kazi.
Unakaa unawaza mwenzako analipwa Tsh ngapi?
Hayo ndo yalikua makubaliano yenu kwenye mkataba wa kazi?
Kuwa utakua unafanya kazi na kuchunguza maslahi ya wenzako?

Sasa hata hiyo kazi utaipoteza Maana wewe ni Mjinga sana afu una Roho ya kishamba.
Tatizo la watu wa mikoani mmejawa husda na ushirikina vichwani.
Basi mroge.
🤣🤣🤣🤣Ila jf
 
Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.

Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.

Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
Hii Boniface ambani Alie wai kua striker wakutumainiwa wa yanga Africa ambani alikua ni mkenya aliwai kusema..
Nikiwa yanga nilipangishiwa hotel ya nyota Tano mshahara wangu ulikua mnono MNO kiasi nilianza kuonewa wivu na wachezaji wenzangu kiasi msimu wangu wa pili nilikua nanyimwa pasi uwanjani au napewa pasi ya kuchonganishwa😅😂😂😂

Tunajua scale za malipo Kwa taasisi au serikalini...hicho ulicho kieleza mara nyingi HUFANYWA KWENYE MAKAMPUNI YA WAHINDI au ya KINDUGU...

Pole mkuu wewe timiza lengo lako la kua hapo pata mtani wako kaanzishe chako otherwise vumilia maana hauku bargain mshahara wako vizuri.....WEWE NI CHEAP LABOUR...

Kama una mkataba endelea kufanya pia unaweza zungumza nao kua uwaeleze kinaga ubaga in and out...

NB;
Wewe SI una job description yako fanya yaliyo andikwa pekee hayo ya kujifanya unajua zaidi ya hao wanao lipwa zaidi ni kujitesa pardonly 🥺🥺🥺
 
Ebu jaribu ku focus na kilicho kuleta kazini, mshahara wa mtu ni siri utajuaje anakudanganya!
 
I can feel ur pain bro umesema wa kwanza alikuzidi 800k ukavunga ukaona yote kheri akaja wa pili nae kakupiga gap na 950k almost 1m dooh! Afu kazi wew ndo wa kutegemewa yan kama mzamiru vile af saidoo anakunja parefu 😀😀 oya ww sio nyani nenda kamwambie hvyo Hr
 
Habarini wanajamii,niende moja kwa moja kwenye changamoto yangu.Nimeajiriwa kwenye taasisi moja hapa jijini dar,sasa katika ajira yangu kitengo nilichopo tulikuwa wawili mimi na huyo niliyemkuta yeye mwenzangu alikuwa kanitangulia kama miaka miwili pale kazini japo tulikuwa level moja ila kiwango cha mshahara alikuwa ananizidi kwa gap kama 800k kabla ya makato.

Baada kama ya mwaka mmoja jamaa aliondoka baada ya kupata kazi nyingine so pale nikabaki mwenyewe na baada kama ya miezi miwili akaletwa mtumishi mwingine, changamoto inakuja yeye analipwa salary kubwa kuliko mimi na ni gap kama la 950k hivi ila mara nyingi kazi mimi Ndio namwelekeza na mara nyingi pia huwa naulizwa.

Mimi moyo yea kufanya kazi haupo kabisa naona kazi ngumu Halafu mwenzangu analipwa vizuri.
Hebu wakuu mnisaidie katika hali hiyo nifanye nn?
Zingatia sana negotiation skills zako ziko kulia au kushoto bandugu....kama ziko kulia basi andika barua ya kuomba nyongeza! Ukiona barua haijajibiwa kama ulivyotaka basi wewe sio muhimu sana kama huyo aloletwa.....ni ushauri mchungu but ndo yaliyopo kazini!
 
Back
Top Bottom