katika mambo ambayo mwalimu Nyerere alipata sifa zaidi wakati wa uongozi wake ni kuwa na serikali inayowajali wananchi kwa vitendo. Jionee maghala ya chakula yaliyopo Iringa,kwa sasa ni marehemu....Je kwa sasa tunao uwezo wa kuyajaza nafaka???
Nmc bila shaka ni iringa hii wahehe wanaita kisande wakiwa na maana sehemu ya kuhifadhia chakula sasa hayo mabilioni ya dowans si yangefanya kazi kama hizo!
Sio kweli aliwajali na kuwaumiza. Uliza wazee wa iliyokuwa east africa. UK ilitoa pesa wa kenya na uganda wakalipwa right away, wa Tanzania chini ya mwalimu wakaongopewa mpaka leo. Pili alishindwa kuandaa viongozi wabudhuti.
The same applies kwa rail ways... ukienda Tanga utashangaa iliwezekana vp enzi hizo kufanya yote yale ambayo kwa sasa yamekufa including the dying port of Tanga...
Sio kweli aliwajali na kuwaumiza. Uliza wazee wa iliyokuwa east africa. UK ilitoa pesa wa kenya na uganda wakalipwa right away, wa Tanzania chini ya mwalimu wakaongopewa mpaka leo. Pili alishindwa kuandaa viongozi wabudhuti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.