Kazi za kujitolea Moshi-Kilimanjaro

Kazi za kujitolea Moshi-Kilimanjaro

KIDTVTC

Senior Member
Joined
Jan 8, 2019
Posts
190
Reaction score
36
TAREO-Tanzania Rural Empowerment Organization ni asasi isiyo ya kiserikali yenye makao yake makuu Moshi, Kilimanjaro.

Hoja ya jukumu la asasi hii ni kuwajengea uwezo wa kazi wa vijijini hususani WATOTO, VIJANA, AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za
  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujasiriamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana, wahitimu wa vyuo na wanaopenda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea, kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anaweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake, kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo (muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
 
TAREO-Tanzania Rural Empowernment Organiztion ni assi isiyo ya kiserikali yenye mako yake makuu Moshi,Kilimanjaro.

Oja ya jukumu l asasi hii ni kuwajengea uwezo wkazi wa vijijini hususani,WATOTO,VIJANA,AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za

  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujariamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana,wahitimu wa vyuo na wanao penda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea,kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake,kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo(muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
Interested
 
TAREO-Tanzania Rural Empowernment Organiztion ni assi isiyo ya kiserikali yenye mako yake makuu Moshi,Kilimanjaro.

Oja ya jukumu l asasi hii ni kuwajengea uwezo wkazi wa vijijini hususani,WATOTO,VIJANA,AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za

  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujariamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana,wahitimu wa vyuo na wanao penda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea,kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake,kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo(muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
Nimesoma general agriculture naweza kupata nafasi ya kujitolea halo.
 
Hiyo asasi inataka free labour?
Kweli mtu asome halafu aje kufanya kazi bure hata kama ni kupata ujuzi basi toeni hata posho maisha msiwafanyie watu hivyo.
Mkuu samahani naomba kujua jinsi yako. Pls si kwa ubaya
 
kama kuna posho mm nakuja kushusha nondo za programming ,database na networking tena practical sio theory tu
 
Kuna posho au ni bure kama bure!

Je , kama mtu yuko nje ya moshi anaruhusiwa kuomba na vipi kwa upande wa nauli anajigharamia au mnamgharamia nyi
kama kuna posho mm nakuja kushusha nondo za programming ,database na networking tena practical sio theory tu
TAREO-Tanzania Rural Empowerment Organization ni asasi isiyo ya kiserikali yenye makao yake makuu Moshi, Kilimanjaro.

Hoja ya jukumu la asasi hii ni kuwajengea uwezo wa kazi wa vijijini hususani WATOTO, VIJANA, AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za
  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujasiriamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana, wahitimu wa vyuo na wanaopenda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea, kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anaweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake, kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na si
TAREO-Tanzania Rural Empowerment Organization ni asasi isiyo ya kiserikali yenye makao yake makuu Moshi, Kilimanjaro.

Hoja ya jukumu la asasi hii ni kuwajengea uwezo wa kazi wa vijijini hususani WATOTO, VIJANA, AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za
  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujasiriamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana, wahitimu wa vyuo na wanaopenda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea, kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anaweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake, kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo (muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
TAREO-Tanzania Rural Empowerment Organization ni asasi isiyo ya kiserikali yenye makao yake makuu Moshi, Kilimanjaro.

Hoja ya jukumu la asasi hii ni kuwajengea uwezo wa kazi wa vijijini hususani WATOTO, VIJANA, AKINA MAMA NA WAKAZI WA VIJIJINI:

Tunalenga kuwajengea uwezo katika Nyanja za
  • Elimu (Tuna vyuo na shule za awali)
  • Tehama(Tuna kituo cha mafunzo ya TEHAMA-digital skill centre-Himo)
  • Afya (Dispensary ya Kyomu Kahe na kituo cha afya)
  • Ujasiriamali (Majengo vocational Projects—www.majengo.africa)
  • Ufundi stadi na (Chuo cha ufundi KIDT VTC)
  • Miradi ya kujiingizia kipato na kuji-ajiri (Majengo,Dar na HImo)
Tunafanya kazi na vijana, wahitimu wa vyuo na wanaopenda kujitolea katika fani tofauti tofauti:

Kwa yeyote anayenda kujitolea, kujijengea uwezona pia kukutana na fursa za kuji-ajiri anaweza kujiunga nasi kwa kujitolea

Tunapokea vijana na mtu yeyote anyependa kutumia taaluma yake, kipawa na ujuzi wake kufanya kazi na sisi:

Karibu ujiunge nasi leo (muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
Accommodation kwa wageni wa Moshi ..all

Karibu ujiunge nasi leo (muda wa kujitolea ni kati ya miezi 3,6 na hata mwaka mmoja)

Wasiliana nasi leo-----mkurugenzi 0717157640 /+255272750531 E-mail info@tareo-tz.org
 
Back
Top Bottom