Kazi Za BoT

Kazi Za BoT

Anaitwa nani huyo kigogo na alishawahi kushika nyadhifa gani serikalini?

Mkuu punguza jazba ongea taratibu tu. Ile orodha ya watoto wa vgg wa BOT ulishawahu iona? Watoto wa Luganjo? mwinyi et al. Labda ka ni uongo hiyo list
 
Wee mwehu nini? Njoo hapa BoT nikuonyeshe jinsi wenzako tulivyopata kazi pasipo kubebwa na "god father" yeyote, acha kubisha kwa kukariri wakati wenzio tunaongea kwa facts!

mkuu eeeeh,samahani lakini,hivii,kwa kukadiria anayeajiriwa leo akiwa graduate hapo bot analipwaje?
 
BOT wanatumia muda mwingi kuscreen applications inaweza pita hata miezi sita au mwaka ndo wakaita interview alafu hata mkishafanya interview unaweza subiri hadi miezi sita ndo ukawa kwenye system rasmi
 
BOT wanatumia muda mwingi kuscreen applications inaweza pita hata miezi sita au mwaka ndo wakaita interview alafu hata mkishafanya interview unaweza subiri hadi miezi sita ndo ukawa kwenye system rasmi
Loh! In otherwords tuondoe kichwani mawazo ya hizo kazi kwa sasa.
 
Shikamoo mbuzi meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Habari!
Kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu zile kazi za BoT zilizotangazwa
mwezi wa kumi na moja mwaka jana? :confused2:

Mkuu fikiria ishu nyingine tu ya kufanya , pale sisi tulikutana na mfanya kazi wa pale akatuambia tusipoteze muda wetu hizo nafasi zina wenyewe..nilichoka lakini ndo tutafanyaje nchi ni ya wanasiasi na familia zao tu!!
 
Mkuu fikiria ishu nyingine tu ya kufanya , pale sisi tulikutana na mfanya kazi wa pale akatuambia tusipoteze muda wetu hizo nafasi zina wenyewe..nilichoka lakini ndo tutafanyaje nchi ni ya wanasiasi na familia zao tu!!
mii nakupinga kabisaa kuna mdau mmoja yeye alikuwa anafanya kazi mwanza chuo flani aliapply kazi ya computer science mwaka 2012 october uzuri alikuwa na masters usiulize kama ni voda fasta aliapply akawa shortisted baada ya mezi 6 akafanya interview akaitwa kazini mwezi wa 6 2013 wala hamfahamu mtu kama ni riziki yako ipo ipo tu , la muhimu ni kuomba kwa imani
 
MI NITAPATA NA SIYO MTOTO WA KIGOGO. Time will tell teh teh.
 
mii nakupinga kabisaa kuna mdau mmoja yeye alikuwa anafanya kazi mwanza chuo flani aliapply kazi ya computer science mwaka 2012 october uzuri alikuwa na masters usiulize kama ni voda fasta aliapply akawa shortisted baada ya mezi 6 akafanya interview akaitwa kazini mwezi wa 6 2013 wala hamfahamu mtu kama ni riziki yako ipo ipo tu , la muhimu ni kuomba kwa imani

1 ktk 100, ila nisiwavunje moyo, bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi! bora utume ujiridhishe nafsi wala usijiliaumu kuwa...dah sikutuma pengine ningeitwa!
 
Wee mwehu nini? Njoo hapa BoT nikuonyeshe jinsi wenzako tulivyopata kazi pasipo kubebwa na "god father" yeyote, acha kubisha kwa kukariri wakati wenzio tunaongea kwa facts!

Wewe ndo unawehuka mchana kweupee, tangia lini umeacha kuuza maembe buguruni sasa umeajiriwa BOT kutoa fact za walala hoi wanaoajiriwa BOT? hivi kwanza unajua kirefu cha BOT? ucjekuta mwenzetu una maana nyingine nikawa nabishana na wewe bureee!!!!
 
Analyzing and reviewing financial conditions and performance of banks and making appropriate recommendations/ Banking supervision
 
Wewe ndo unawehuka mchana kweupee, tangia lini umeacha kuuza maembe buguruni sasa umeajiriwa BOT kutoa fact za walala hoi wanaoajiriwa BOT? hivi kwanza unajua kirefu cha BOT? ucjekuta mwenzetu una maana nyingine nikawa nabishana na wewe bureee!!!!
Wee kweli hamnazo, kama unabisha tu bila kujishughulisha hata kidogo basi wewe ni laana katika kizazi hiki! Najua umeshindwa kutumia akili yako kufikiria vizuri, sasa hata kutumia nguvu japo kidogo uje nikueleweshe napo huwezi? Au wewe ni dis-abled, who is handicapped both physically and mentally? Kama sivyo kwa nini usije ukakutana na mimi nikueleweshe kuliko kung'ang'ana ku-post ujinga nyuma ya keyboard? Halafu inaonekana IQ yako ni ndogo sana, hapa siyo BOT, ni BoT mjinga mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom