Mashoo Mashoo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 375
- 105
- Thread starter
- #41
Yaishe jamani.
yessss... Finance pia. Nilisahau.
ahsante mkuu!!
mimi nina higher diploma ya logistics and transport management.
nasaka deal yoyote ile ndani ya bandari kuu
ya dar es salaam,
lakini hapo baadae nataka nisome postgraduate ya finance then nichukue MA ya finance hiyo hiyo!
unalionaje hilo wazo mkuu?
Soma MBA, usifanye post graduate na masters ya kitu kimoja. Kwa mtazamo wangu MBA itakuongezea wigo wa ajira.
Others can advise as well...
ahsante sana mkuu.. ila sijajua kwa mtu mwenye higher diploma kama anweza soma MBA.. naomba clarification hapo tafadhali!
Nami sijawahi sikia mkuu, uwe na postgraduate alafu upige MBA hapo sijui
Nami sijawahi sikia mkuu, uwe na postgraduate alafu upige MBA hapo sijui
Loh! In otherwords tuondoe kichwani mawazo ya hizo kazi kwa sasa.
probably lakini kama ulituma kuwa na moyo wa subira
Bado sana labda mwezi March 2014
hivi benki kuu ina jumla ya vitengo vingapi jamani?
mimi nna profession ya safety and security.. ninaweza kweli kubahatika humo?
ninachojua mimi ukiwa na advance dip/higher iliufike MBA lazima usome postgra. But ukiwa na degree unatembea kwenye MBA direct.
Benno Ndulu ni mtoto wa kigogo mmoja wa Kipogoro huko Ifakara!!!
Uliomba post gani?kwa sasa unapiga mzigo wapi?