said Nundu JR
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 464
- 358
Ni kulinda maslahi na mali za matajiri, wakoloni, na ndiyo maana asilimia kubwa ni waafika na nchi chache za asia.
Mmh!! Simple analysisNi kulinda maslahi na mali za matajiri, wakoloni, na ndiyo maana asilimia kubwa ni waafika na nchi chache za asia.
Mimi Ni muislamu sili nguruweKweli kabisa tafuna kitimoto kilo hapo nakuja lipa
hata Mimi ni muislamu sio mbaya tukavua barakashia Na kazu tukafanya yetuMimi Ni muislamu sili nguruwe
Huu uchokozi sasa ...mkuu ungesubiria angalau tarehe 10 hukohata Mimi ni muislamu sio mbaya tukavua barakashia Na kazu tukafanya yetu
Tukutane baada ya mfungo kuishahata Mimi ni muislamu sio mbaya tukavua barakashia Na kazu tukafanya yetu
Huo ni ukafirihata Mimi ni muislamu sio mbaya tukavua barakashia Na kazu tukafanya yetu