Kazi ya Ubaharia

Kazi ya Ubaharia

GAGL

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
392
Reaction score
400
Naomba mwenye kujua connection za kupata kazi ya ubaharia nje ya nchi anisaidie. Nina diploma ya Marine Operation upande wa Engine Mechanic
 
Naomba mwenye kujua connection za kupata kazi ya ubaharia nje ya nchi anisaidie. Nina diploma ya Marine Operation upande wa Engine Mechanic
Sijui KWA nn mabaharia wanapenda kuingiliwa kinyume na ....
 
Kajaribu bahati yako kwa kuinasua meli ya mizigo iliyonasa huko mfereji was Suez mkuu 🤔
 
Siku hizi makampuni mengi unaomba kazi online cheki na makampuni ya meli za mafuta ambazo base yake ni Dubai na hizo Nchi za kiarabu ni rahisi kupata kupitia huko sina namba za vijana ila wapo Watanzania kadhaa huko sisi miaka yetu ilikua tunashuka Cape town hapo unaonyesha vyeti vyako unasaini kazi sasa hivi wameweka vipengele vya kibali cha kazi lazima upate kabla ujaenda kuomba kazi SA imekua tatizo kidogo ila ukiweza kupata kibali hapo ubalozi wa masaki kazi unapata Cape na pia hawa debeers Maline waombe online wewe tupia CV zako kwenye hayo makampuni ya meli yana maagent sipo huko kwa mambo ya meli kitambo ila walio huko watanikumbusha na uwe na vyeti vya safety pia walikua wanazingatia sijui sasa hivi Mungu ni mwema kazi utapata tuu..
 
Wasiliana na lemutuz atakupa mbili tatu za unabaharia.

Maelekezo mengine umepewa hints huko juu
 
Siku hizi makampuni mengi unaomba kazi online cheki na makampuni ya meli za mafuta ambazo base yake ni Dubai na hizo Nchi za kiarabu ni rahisi kupata kupitia huko sina namba za vijana ila wapo Watanzania kadhaa huko sisi miaka yetu ilikua tunashuka Cape town hapo unaonyesha vyeti vyako unasaini kazi sasa hivi wameweka vipengele vya kibali cha kazi lazima upate kabla ujaenda kuomba kazi SA imekua tatizo kidogo ila ukiweza kupata kibali hapo ubalozi wa masaki kazi unapata Cape na pia hawa debeers Maline waombe online wewe tupia CV zako kwenye hayo makampuni ya meli yana maagent sipo huko kwa mambo ya meli kitambo ila walio huko watanikumbusha na uwe na vyeti vya safety pia walikua wanazingatia sijui sasa hivi Mungu ni mwema kazi utapata tuu..
Nakushukuru sana mkuu kwa haya maelekezo ambayo kwa sehemu kubwa yanatoa mwanga. Mungu akubariki sana.
 
Jamani ninaomba kuuliza hivi kwa Sasa mandatory course ni shilingi ngapi pale dmi
 
Icheki hyo nmba inaweza kukupa mwanga make ndo kazi zake kwenda nje km k.koo to feri vile. 0784940883
 
Back
Top Bottom