Kazi ya Magufuli haina makosa

Kazi ya Magufuli haina makosa

jitwangabalogi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2018
Posts
480
Reaction score
638
Matumaini yetu ni wazima wa afya wakuu!

Katika Sayari hii ya tano tokea Pluto hakuna kiumbe chochote kisichokosea, sio Wachungaji, Mitume, Manabii, Madokta Wazamivu, Masikini, Matajiri n.k. Je, si ukweli ya kwamba wakuu na hata great thinker nao hukosea? Hakuna aliyekamili tangu hapo mwanzo wa neno, sisi wote ni wakosaji na tutaendelea kukosa ingali kama tunaendelea kuishi.

Ndugu zangu wapendwa wangu, yatupasa kusamehana sisi kwa sisi katika yote yale tunayokoseana, kwa nini unahukumu mapungufu ya jirani yako bila kujitazama mapungufu yako kwanza? Sioni kosa kubwa ambalo kalifanya Magufuli ambalo haliwezekani kusameheka. Je, ni ukweli ya kwamba awamu nne zilizotangulia hazijakosea? Kuna haja gani ya kubeba chuki mioyoni mwetu dhidi yake?Yyatupasa kushirikiana naye na kumuunga mkono katika atendayo kwa maslahi yetu sasa na hata vizazi vijavyo. Je, si ukweli sisi wote ni watoto wa mama mmoja/ Tanzania?.

Tupendane, tupendane, tupendane ndugu zangu, kwa njia hii ya upendo itatufanya tuishi kwa amani na ushirikiano baina yetu na hata aliye Baba aliye juu atatubaliki na kutuzidishia katika tufanyayo.

Tuache kuishi kwa visasi, uongo, roho mbaya, chuki, tamaa, tuepuke ufitinishi, tujizuie kujitukuza na yale yote ambayo sisi wenyewe hupendi kufanyiwa"

#amani ya bwana wetu iwe pamoja nasi

Amen:
 
Matumaini yetu ni wazima wa afya wakuu!

katika Sayari hii ya tano tokea Pluto hakuna kiumbe chochote kisichokosea, sio Wachungaji, Mitume,Manabii,Madokta Wazamivu, Masikini, Matajiri n.k. Je, si ukweli ya kwamba wakuu na hata great thinker nao hukosea? Hakuna aliyekamili tangu hapo mwanzo wa neno, sisi wote ni wakosaji na tutaendelea kukosa ingali kama tunaendelea kuishi.

Ndugu zangu wapendwa wangu, yatupasa kusamehana sisi kwa sisi katika yote yale tunayokoseana, kwanini unahukumu mapungufu ya jirani yako bila kujitazama mapungufu yako kwanza? Sioni kosa kubwa ambalo kalifanya magufuli ambalo haliwezekani kusameheka. Je, ni ukweli ya kwamba awamu nne zilizotangulia hazijakosea? kuna haja gani ya kubeba chuki mioyoni mwetu dhidi yake? yatupasa kushirikiana naye na kumuunga mkono katika atendayo kwa maslahi yetu sasa na hata vizazi vijavyo. Je, si ukweli sisi wote ni watoto wa mama mmoja/ Tanzania?.

Tupendane, tupendane,tupendane ndugu zangu, kwa njia hii ya upendo itatufanya tuishi kwa amani na ushirikiano baina yetu na hata aliye Baba aliye juu atatubaliki na kutuzidishia katika tufanyayo.

Tuache kuishi kwa visasi, uongo, roho mbaya, chuki, tamaa, tuepuke ufitinishi, tujizuie kujitukuza na yale yote ambayo sisi wenyewe hupendi kufanyiwa"

#amani ya bwana wetu iwe pamoja nasi

Amen:
Kwanza Unadhani kwa nini watu wanamchukia sana? Ukijua sababu hutopata shida sana ku reason out
 
nani alipiga masasi Tundu?
ako wapi Ben?
ako wapi Azory?
nani alipiga machette Mawazo?

chuki ndo inaanzia hapo kwa sababu Dr. Magufuli ameshindwa kuamuru vyombo vya ulinzi kuwakamata na kuwafikisha mbele ya mkono wa sheria waliofanya udhalimu huu. na kwa kutochukua hatua Watanzania wanahisi anahusika.
 
nani alipiga masasi Tundu?
ako wapi Ben?
ako wapi Azory?
nani alipiga machette Mawazo?

chuki ndo inaanzia hapo kwa sababu Dr. Magufuli ameshindwa kuamuru vyombo vya ulinzi kuwakamata na kuwafikisha mbele ya mkono wa sheria waliofanya udhalimu huu. na kwa kutochukua hatua Watanzania wanahisi anahusika.
Ujinga , kwani hakuna mahakama? Kwani hakuna police. Si uende kufungua jarada ?
 
nani alipiga masasi Tundu?
ako wapi Ben?
ako wapi Azory?
nani alipiga machette Mawazo?

chuki ndo inaanzia hapo kwa sababu Dr. Magufuli ameshindwa kuamuru vyombo vya ulinzi kuwakamata na kuwafikisha mbele ya mkono wa sheria waliofanya udhalimu huu. na kwa kutochukua hatua Watanzania wanahisi anahusika.
Kutekwa kwa Roma,mo ,mdude nini kilifanyika kama uchunguzi ulifanyika report vp watanzania sio wajinga
 
nani alipiga masasi Tundu?
ako wapi Ben?
ako wapi Azory?
nani alipiga machette Mawazo?

chuki ndo inaanzia hapo kwa sababu Dr. Magufuli ameshindwa kuamuru vyombo vya ulinzi kuwakamata na kuwafikisha mbele ya mkono wa sheria waliofanya udhalimu huu. na kwa kutochukua hatua Watanzania wanahisi anahusika.
Kwani si hao wote wapo chini ya mwenyekiti wao mbowe Kama serikali imeshindwa kuwabaini hao watu mahakama zipo huru na chama inatakiwa kikafungue kesi zao ili haki ipatikane kuendelea kukaa kimya hivyo juu ya wanachama waliopotea na kupigwa risasi kunanipa wasiwasi pengine tatizo lipo ndani ya chama na Wala siyo Taifa.
Hebu jaribu tu kujiuliza kwa akri ndogo tu, hivi wewe ikitokea ndugu yako wa karibu kapotea au kauliwa utaenda mahakamani wewe ndugu yake wa karbu au mawakili wa serikal ndo wataenda kufungua jarda la kesi ya ndugu yako?
Na je Chadema washapeleka malalamishi mahakamani juu ya hayo matukio?
Na je Chadema wameishitaki jamhuri ya Tanzania juu ya hayo Matukio?
Je Kuna ushahidi wowote wewe au viongozi wako mliopeleka mahakamani?

My note; Ni Jambo jema Sana kupatikana kwa Hawa watu waliopotea na kukamatwa kwa Hawa waliowapiga risasi watanzania wenzao lakini pia tutambue kwamba mawakili wa serikali hawajaajiriwa kusimamia kesi za watu binafsi,vyama au mashirika binafsi Bali wao wapo kwa ajri ya kesi zinazohusiana na Mambo ya serikali ya JMT. Hivyo Basi Mambo ya Ben,lissu,Anzory, nk chama Kama chama ndo inatakiwa kifungue mashitaka juu ya jamhuri kuhoji juu ya hao watu. Tofauti na Hapo usisbri miujiza kutendeka mtabaki kupiga makelele tu humu jamii forum na haitasaidia kitu.
 
Ujinga , kwani hakuna mahakama? Kwani hakuna police. Si uende kufungua jarada ?
Mkuu mi mwenyewe nawashangaa Sana wanao lalamika juu ya lissu,Ben na Anzory. Inanisikitisha Sana viongozi wa Hawa watu kutokutambua sheria na taratibu ya kudai haki juu ya watu wao. Mawakili wa serikali hawawez Kwenda mahakamani kufungua jarda la kesi ya mtu binafsi au chama flani Bali wao wanahusika na kesi zinazo ihusu JMT Basi.
Mimi nafkri kupotea na kushambuliwa risasi juu ya Hawa watu Ni mipango ya ndani ya chama hasa kwa mtu anaeonekana na influence kubwa ya kupata cheo kilichokaliwa na ukoo flani pale ufipani thus why hawafungui hata kesi mahakamani maana Wakubwa wanaujua ukweli na wanaelewa wenzao waliko Ila wale walala hoi wao wa huku chini ndo wanabaki kukalilishwa kuwa serikali ndo inahusika na wao mchana kutwa wanabweka mitandaoni kudai haki Yao Sasa Sijui mahakama siku hizi imehamia jamii forum.. aise kwa akri mgando walizonazo juu ya kung'amua Mambo bado wanasafari ndefu sana Tena sana
 
Ujinga , kwani hakuna mahakama? Kwani hakuna police. Si uende kufungua jarada ?
ujinga una nafuu. wote tu wajinga katika jambo moja au jingine. ujinga ni maumbile. unaondolewa na elimu. ujinga si dhambi. upumbavu ni balaa. mpumbavu si mjinga. hujifanya aonekane mjinga. werevu hutofautisha ujinga na upumbavu. upumbavu si maumbile. hauondolewi na elimu bali huletwa na elimu. ubaya au uzuri wa kitu umo katika matumizi yake. pesa ikitumiwa vibaya ni mbaya. ikitumiwa vizuri ni nzuri. morphine ikitumiwa vizuri ni mkombozi kwa wenye saratani. ikitumiwa vibaya ni madawa ya kulevya. nyuklia ikitumiwa vizuri tunapata nishati. ikitumiwa vibaya ni silaha za maangamizi.
elimu ikitumiwa vizuri ni busara, hekima na maarifa. ikitumiwa vibaya ni kiburi,dharau, majivuno, ubaguzi na upumbavu. wapumbavu wana elimu. upumbavu wa wapumbavu ni kutumia elimu vibaya. wanajua wanachofanya. kujua jambo sahihi na usilifanye ni dhambi. dhambi ni uasi. kufanya kinyume na itakiwavyo ni uasi.
mahakama zipo kwa daawa na jinai. daawa anapeleka mwathiriwa mwenyewe. jinai kawaida hupelekwa na jamhuri. polisi hufanya upelelezi. mwendesha mashtaka wa jamhuri hufungua jalada mahakamani. komamgo hapa kuna jipya? yote unayajua. hiyo elimu unayo. unaitumia vibaya tu. kuuliza si ujinga lakini yapo maswali ya kipumbavu. utaratibu wa kufungua jalada mahakamani unaufahamu. yaangalie maswali yako ya kiburi, dharau,majivuno. kwa ufupi ni maswali ya kipumbavu ya upumbavu akionyesha upumbavu wake.
 
Mkuu mi mwenyewe nawashangaa Sana wanao lalamika juu ya lissu,Ben na Anzory. Inanisikitisha Sana viongozi wa Hawa watu kutokutambua sheria na taratibu ya kudai haki juu ya watu wao. Mawakili wa serikali hawawez Kwenda mahakamani kufungua jarda la kesi ya mtu binafsi au chama flani Bali wao wanahusika na kesi zinazo ihusu JMT Basi.
Mimi nafkri kupotea na kushambuliwa risasi juu ya Hawa watu Ni mipango ya ndani ya chama hasa kwa mtu anaeonekana na influence kubwa ya kupata cheo kilichokaliwa na ukoo flani pale ufipani thus why hawafungui hata kesi mahakamani maana Wakubwa wanaujua ukweli na wanaelewa wenzao waliko Ila wale walala hoi wao wa huku chini ndo wanabaki kukalilishwa kuwa serikali ndo inahusika na wao mchana kutwa wanabweka mitandaoni kudai haki Yao Sasa Sijui mahakama siku hizi imehamia jamii forum.. aise kwa akri mgando walizonazo juu ya kung'amua Mambo bado wanasafari ndefu sana Tena sana
komamgo kapata sapoti ya mpumbavu mwenzie mr. tyang: wakisapoti upumbavu wa ....balogi, mleta mada. chekechea tu anajua kwa kiasi anachochukiwa mbowe na serikali hii,angekuwa kafanya yeye hayo;scotland yard ingetinga kesho yake. tungekuwa tunaongelea marehemu saa hizi! upumbavu wa wapumbavu ni kutumia elimu kipumbavu. kuna taratibu za kufungua jalada mahakamani. ziko wazi zinafahamika. huyu tyang kati ya wanyama ni nguchiro. mbwa pamoja na uroho wa nyama hamtafuni. useless nguchiro=useless tyang. si bure nafkr=nafikiri, kukalilishwa=kukaririshwa na akri=akili anajua kazi ya wakili wa serikali ni kesi zinazohusu jmt basi! hapo kweli kabisa akri. anaona wenzake ndio wenye safari ndefu sana. ogopa sana kiumbe kama tyang: hajui hajui hajui. hajui na hajui kuwa hajui!

i
 
nani alipiga masasi Tundu?
ako wapi Ben?
ako wapi Azory?
nani alipiga machette Mawazo?

chuki ndo inaanzia hapo kwa sababu Dr. Magufuli ameshindwa kuamuru vyombo vya ulinzi kuwakamata na kuwafikisha mbele ya mkono wa sheria waliofanya udhalimu huu. na kwa kutochukua hatua Watanzania wanahisi anahusika.
Kamuulize mbowe
 
Back
Top Bottom