Asante kwa ofa mkuu, jengo lilishakamilikaWasomi mnabishana jinsi ya kugawana hela baadae, ukifikia phase ya kuhitaji fundi ceiling na decorations we nicheki dm hapo tunaelewana on the spot na tukielewana tunaanza kazi muda huohuo hatuna maneno mengi
Angalau wale wenye cheti au diploma ambaye hajapata sehemu ya kujishikizaTafuta mtu wa Field
Hao uliowataja ni watu wakula kiyoyozi ofisini.
Hamna kitu hapo
Uko sahihiSalaam
Naona Kuna kitu watu hawajaelewa hapo....
Jamaa anahitaji wafanyakazi au tuseme (equation company) ni muajiri anahitaji waajiriwa kwenye nafasi ambazo zinahitajika kujazwa!
Kwenye maelekezo yake amesema anaenda kuwa na kampuni......
Hivyo ameshafata taratibu za kampuni inatakiwa iwe na vitu gani mfno MEMARTs ambayo itaonyesha umiliki wa hisa kwenye kampuni pamoja na wamiliki wa hisa tayari wanakuwa wamesha orodheshwa na kila mmoja kwa kiasi alicho changia kwenye hisa hizo!
sasa mnapomwambia awape umiliki hao wafanyakazi hata kwa asilimia ndogo ni kitu ambacho hakipo!
Hapo kampuni itatakiwa kuonyesha wafanyakazi waliopo either ni vibarua, (freelancer) , wanajitolea au wana mkataba kumbuka hivi TRA watahitaji kujua maake atatakiwa kulipa PAYE, hivyo hao ni waajiriwa kwenye equation company na sio minority shareholders!
Maake wakishindwa kazi wana uwezo wa kutolewa na kuwekwa watu wengine!
Hapo mngeniambia kwakua ndo kampuni inaanza labda awape priority na atapoanza kuajiri basi awape hao part time kipaumbele!!
Vinginevyo kama ni kampuni Ina kila kitu ambacho kinatakiwa kuanzia memarts, brela certificate, vibali kutoka kwa regulators, na other requirements as per company laws!
Congrats Mr
Kwa sababu ni mwanzo, tunaweza kuanza kwa kamisheni kwa kila kazi inayopatikanaWazo lako nizuri ila angalau uweke posho . Unapoanzisha kampuni nilazima utenge budget ikiwemo pesa za posho kwa hao
ofisi ni ArushaWazo zur but, Kama ni serious issue ulitakiwa kueleza location ukatoa na contact.
Kuliko kutafuta watu wajitolee kwnye kampuni yako changa, ni heli utafute kampuni kubwa ujitolee kama kampuni ndogo, jeshi la mtu mmoja ili ujenge company profile, la sivyo watakuja kujitolea kwako na hakuna kazi za kufanya, watabaki wanashinda ofisin na kugonga menu tu bure.Nina wazo la kuanzisha kampuni ndogo ya ujenzi, ambayo timu yake itakuwa hivi:-
Architecture - 1 Quantity surveyor - 1 Marketing - 1Kwa kuwa kampuni itakuwa bado ni changa, haitaweza kulipa mishahara kwa hao wataalamu, lakini itakuwa na uwezo wa kuwapatia chai na chakula cha mchana tu, ndani ya miezi sita.
Baada ya soko kuitikia, ndio tutaanza kupata mapato (mishahara).
Kwa wale wenye hiyo fani na wana nia kweli, njoo hapa jukwaani tujadili.
Kuliko kutafuta watu wajitolee kwnye kampuni yako changa, ni heli utafute kampuni kubwa ujitolee kama kampuni ndogo, jeshi la mtu mmoja ili ujenge company profile, la sivyo watakuja kujitolea kwako na hakuna kazi za kufanya, watabaki wanashinda ofisin na kugonga menu tu bure.
Yes kwa sababu hujahitaji mtu wa kuchangiana naye mtaji ama hisa so hao wana fall kwenye kitengo cha wafanya kazi.Uko sahihi
mzabzab naye atakuwa anakuja Choo za ofisini 🤣anapiga nyeto huku anasikiliza voice note ya xxvdeo🤣Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, ngoja niwa cheki wanangu kina makutupora na Bolotoba ili tuwe tuna kuja kunywa chai bure.
Haina shida mkuuAsante kwa ofa mkuu, jengo lilishakamilika