Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,587
- 61,002
- Thread starter
- #21
Hiyo ni muhimu kuwepo na mjadala kwa timu husikasio Kwa kiasi fulani, sema ni lazima iki tokea mmfenya kazi 2-3
Hiyo ni muhimu kuwepo na mjadala kwa timu husikasio Kwa kiasi fulani, sema ni lazima iki tokea mmfenya kazi 2-3
Hii ni muhimu, iwepo kwenye majadiliano kwa hao wenye vigezoUnapo anza na mtu Hadi mkanayuka heshimu mchango wake na uwepo wake. Unaweza ukala asilimia kadhaa nao ukawapa asilimia kadhaa na zingine mkaziweka pending Incase muwekezaji nikijisikia kuja
Fani gani?Mimi pia nipo tayari
Karibu sana
Poa mkuu fanya hivyo.Hii ni muhimu, iwepo kwenye majadiliano kwa hao wenye vigezo
Kuna shida mahali hapa 🙄🤔, mkuu una elewa hapo mna Jenga biashara??.Pia ni vizuri wakajichukulia kama waajiwa, kwa sababu watatumia majengo ya kampuni, watatekeleza malengo ya muda mrefu na mfupi ya CEO; kampuni ingekuwa iko vizuri, terms zingekuwa ni kuajiri tu hao wataalamu
Hakika, hii ni biashara nzuri iki fanyika kwa makini.Kwamba aache mambo ya kasongo
Hakika, hii ni biashara nzuri iki fanyika kwa makini.
na sio Kwa mazoea, Eti tuta gawana hiki au kile.
Unaona niliyokuwa nasema kwa nyie wasomi maneno mengi! Hata tayari mmeishaanza kurumbana sijui makampuni, brela, ..... ! Wasomi wengi ndo maana masikini!Kuna shida mahali hapa 🙄🤔, mkuu una elewa hapo mna Jenga biashara??.
Kama ndio 6 month-1 year ni muda mrefu, na unao weza kubadili taswira ya kampuni au biashara husika!.
jengo, usajili, hivyo ni vitu vya kawaida, kwani ni Kama ume jivutia upande wako.
Ndo maana Ume alika team work, ije iweke nguvu.
ambapo team work hiyo, ita shiriki kwenye maamuzi, kazi na hata kupanda na kushuka kwa biashara.
Ndani ya hiyo miezi 6, mki piga kazi. Wape sehemu ndogo ya umiliki bhana.
Kuna shida mahali hapa 🙄🤔, mkuu una elewa hapo mna Jenga biashara??.
Kama ndio 6 month-1 year ni muda mrefu, na unao weza kubadili taswira ya kampuni au biashara husika!.
jengo, usajili, hivyo ni vitu vya kawaida, kwani ni Kama ume jivutia upande wako.
Ndo maana Ume alika team work, ije iweke nguvu.
ambapo team work hiyo, ita shiriki kwenye maamuzi, kazi na hata kupanda na kushuka kwa biashara.
Ndani ya hiyo miezi 6, mki piga kazi. Wape sehemu ndogo ya umiliki bhana.
oya kunywa chai bro, uki ona vipi ingia front kule dhidi ya m23.Unaona niliyokuwa nasema kwa nyie wasomi maneno mengi! Hata tayari mmeishaanza kurumbana sijui makampuni, brela, ..... ! Wasomi wengi ndo maana masikini!
Ingefaa kufanya ubia iwapo wote tukiamua kuanzia kwenye 0, kuanzia majengo n.k na baadaye tukachangishana mitaji.Hakika, hii ni biashara nzuri iki fanyika kwa makini.
na sio Kwa mazoea, Eti tuta gawana hiki au kile.
ewaa hapa Ume someka vyema, na ni baada ya kukukaanga 😆😂.Umiliki wao unaweza kuwa ni wa asilimia ndogo, kwa sababu kinachohitajika kwao ni 'skill' tu; vingine vyote kampuni inabeba.
Hii inatafsiri, kampuni inaweza kuwa na 95%, wao wakagawana hiyo 5% iliyobaki.
Ikiwa na maana, kampuni itaweza kuwaajiri watu wengine wenye hizo hizo fani, pale itakapotokea wao wameshindwa kutimiza wajibu wao.
Ndivyo inavyotakiwaExactly, biashara inapaswa kwenda kibiashara
Salute to you bigNdivyo inavyotakiwa
Ha ha ha haUnaona niliyokuwa nasema kwa nyie wasomi maneno mengi! Hata tayari mmeishaanza kurumbana sijui makampuni, brela, ..... ! Wasomi wengi ndo maana masikini!
ewaa hapa Ume someka vyema, na ni baada ya kukukaanga 😆😂.
Ngoja waje Sasa.
Hawezi ninyima mimi Marketing 😝😅Niruhusu please niwe na huyu Boda Boda BossVipi mkuu huitaji bodaboda kumzungusha marketing manager around? Mie nipe chai na msosi tuu mafuta juu yangu. Sharti marketer awe mwanamke